marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 987
Hii habari ilivumishwa ili kuyumbisha wanaobet ukichukua hii habari ukijumlisha na historia ya michuano wakamaria wakaingia cha kikeKuna watu wanaumia sana hii World cup kufanyika Qatar,
So,kila siku wanazusha jambo baya dhidi ya Qatar,
Walijiandaa tu ili kama Qatar angeshinda waseme rushwa.
Utapigwa ndoige mapema sana
Uhakika jude anatupaUtapigwa ndoige mapema sana
Anajua Sana.Hata mimi umenigusa sana, respect kwa dogo
Iran ndo sio ya kuibeza mkuu.. Iyo team ya waandishi wa habar wasipo jituma wataloa na mvua in Harmo voice [emoji23]Mwingereza sio wa kumbeza..tukutane mida
Sawa tutapata matokeoIran ndo sio ya kuibeza mkuu.. Iyo team ya waandishi wa habar wasipo jituma wataloa na mvua in Harmo voice [emoji23]
Iran ndo sio ya kuibeza mkuu.. Iyo team ya waandishi wa habar wasipo jituma wataloa na mvua in Harmo voice [emoji23]
Sawa mkuu
Ila bado nina wasiwasi Ile haikuwa Offside. Ila basi yaishe. Hiyo 3D yenyewe imetishwa shwaaaaaaaaaa
Hivi ni member wa BTS?Muimbaji ni jung kook
Senegal leo tunaitaji draw tu atuna mambo mengi point zilizobaki tunachukua kwa qatar na ecuador
ndioHivi ni member wa BTS?
Ecuador naye lazima atakaza sana maana kashajiongezea hali ya kushindaSenegal leo tunaitaji draw tu atuna mambo mengi point zilizobaki tunachukua kwa qatar na ecuador
Senegal atafungwa na neds tuu nazani na ataliza na 6 pts , afuuuu MM NAONA. CROATIA LAZIMA WABEBE ASEEEEE (POINT TO NOTE REFER ILE LILILOPITA WALIFIKA FINAL WAKIWA UNDER DOGS THEN FRANCE WAKAIBUKA !)
Quality na bado akaishia makundi, acheni mahaba ya kipuuzi nyie, south na Qatar wote kundi moja tu
Mbona kulikuwa Na mchezaji mwingine wa Qatar mbele Zaid YA hao?
Argentina yasasa ni nzuri ila nakuhakikishia inafungwa vizuri na Brazil kama wakikutana.