Namuona yuko byeee kuliko Neymar...View attachment 2435811Mchezaji ambaye haimbwi sana kwenye hii WC,ila anaupiga mwingi. Morocco kila nikiwatizama na waona wanafika nusu.
Huyu jamaa naona karudi kwenye peak yake kama alivyokuwa Ajax.
View attachment 2435811Mchezaji ambaye haimbwi sana kwenye hii WC,ila anaupiga mwingi. Morocco kila nikiwatizama na waona wanafika nusu.
Huyu jamaa naona karudi kwenye peak yake kama alivyokuwa Ajax.
Kwani hii Game DSTV wanaonesha?
Ufaransa leo wachezaji ni Tchouameni, Kounde na Dembele brooh
Wamepiga mwingi sanaa, nguvu + kasi
Huoni jamaa wanavyopanda kama siafu?Mashambulizi mengi ya Ufaransa yanapitia kwa mbappe, mbappe akifichwa France kule mbele watakua na wakt mgum sana.
222 au 223Dstv wanarusha channel no ngapi
Spain ya kawaida sana kombe hili la WC nimewatizama na Japan,Germany.Ila hao Morocco mpira wanaumwaga wa kutosha na wanakupiga.Hawatoki kwa Spain trust me.
Mpira wa kasi midfielder zao na beki zao kufukuza watu Ni mtihani ...Quick counter ni mtafutano Yani wanachanganyikiwa.Spain ya kawaida sana kombe hili la WC nimewatizama na Japan,Germany.Ila hao Morocco mpira wanaumwaga wa kutosha na wanakupiga.
Morocco kumfunga Spain ni shughuli broohSpain ya kawaida sana kombe hili la WC nimewatizama na Japan,Germany.Ila hao Morocco mpira wanaumwaga wa kutosha na wanakupiga.
222Dstv wanarusha channel no ngapi
Labda kama unazungumzia historia ila kwa current form ya hii michuano ya WC Morocco yupo vizuri kuliko Spain.Morocco kumfunga Spain ni shughuli brooh
Bebe fainal tutashabikia wote FranceLitarudi tu
Wacha wapigwe bhana sisi Argentina tunataka njia safiNajua ufaransa wakikamata mpira huwa ni one way mpaka golini.
Nasubiriw goli tu mda ukifika
Kuwa vizuri ni kabla ya Mtoano, inapofika mtoano nakuambia historia na ukubwa wa timu zina nafasi yakeLabda kama unazungumzia historia ila kwa current form ya hii michuano ya WC Morocco yupo vizuri kuliko Spain.