Mbape anaitendea haki sana timu yake.Yeah ni kweli kabisa, sema nawaamini sana France huwa hawana mambo mengi sana linapokuja suala la kutaka matokeo sahihi..
Nenda kwao kidogo uishi nao kama miez kadhaa hivi utapata majibu
Acha kukaza fuvu hakuna timu ya Africa inayoweza kufika nusu final hata bara zima likiungana ....View attachment 2435811Mchezaji ambaye haimbwi sana kwenye hii WC,ila anaupiga mwingi. Morocco kila nikiwatizama na waona wanafika nusu.
Huyu jamaa naona karudi kwenye peak yake kama alivyokuwa Ajax.
🔥🔥And this is how we do #France
Na hapo baadhi ya wachezaji muhim wamekosa hii michuano kwa sababu za majeraha.. Pogba, Benzema, Nkunku, KanteMbape anaitendea haki sana timu yake.
Vile vile timu inamuunganiko mzuri sana
Mlilete in advance 🔥🔥🔥🤣🤣🤣Tuwape kombe lao[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23]
Halafu me ndo nlipokeeeMlilete in advance 🔥🔥🔥🤣🤣🤣
Sasa kati yangu mimi na wewe nani anayekaza fuvu, acha kukalili.Acha kukaza fuvu hakuna timu ya Africa inayoweza kufika nusu final hata bara zima likiungana ....
Africa Ni Africa tu ,likaja swala la mtuona utawaonea huruma [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..mfno Ni Ghana kwenye game ya mhimu kabisa hata draw imemshinda ...
Usiwalaumu Poland mkuu sema wamekutana na bingwa mtetezi na ana tamaa ya kulichukua tena hili kombe. #franceHii poland bora hata wangepita saudi arabia 🚮
mambo vp mdau
Bora kuliko MessiNo way, Mbappe is gonna be the top scorer and the best player either.
Wewe kunifwata nilipo muda wa kipindi..then unapanga bei yako maana yangu nikikupatia hutafika.Wewe kusoma kote Yuropu bei gani malipo?
Team no stress ni ArgentinaNaona mna mbili uko