Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Niliona clip ya goal la marehemu Popa Diop, alipovua shati alikuwa amevaa cheni. Nikajiuliza kumbe zamani walikuwa wanaruhusiwa kuvaa hiyo mikufu, huenda siku hizi wameanza kuikataza kama huyo Kounde kavuliwa
Zamani walikua wanavaa tu mpaka hereni,tafuta clip mechi za zamani za Colombia utamuona Carlos Valderama alikua anavaa heteni ndefu na cheni kibao tu.
 
Mpira anaucheza na hukuti watu wakim edit na mashuka
 
Kabisa,nimeona hvo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…