Ndo ameshafungaWanairudia tena aisee yani inaonekana ni mpaka jamaa afunge
Bahati yake kipa aliwahi kudondokaLewandowsk kataka kufanya vile vitu vya Ayew (Ghana) vs Uruguay
Mi mwenyewe sijamuelewa na nimeshangaa kuona inaruhusiwa aina hiyo ya cheatingHuyu mzee anajifunza kupiga penati ama?
Huku kwenye Kombe la Dunia Messi ndio inabidi amfikie Mbappe na muda ni kama umeshaanza kumtupa mkonoHuku hajamfikia mzee messi bado. Tumpe muda
Ni mizuka tu ...hakuna kingineNauliza swali....kwann watu wanakumbatiana na kupigana vibao vya matako kwenye hii mechi. Nimeona wachezaji wawili wa poland wakiwa wanaingia...uwanjani.
Lazima tubebe na hili back to backKuna uwezekano wa kutetea taji lao
Kabisaaaaa,he deserves one indeedMbappe:
WC 2018, alifunga magoli 4
WC 2022, amefunga magoli 5(bado kuna mechi 3 endapo watafika Fainali)
Golden boot for Mpappe
Lewandowski misses the attempt, but he will get a second chance as Lloris was off his line and there was encroachment from several France playersWanairudia tena aisee yani inaonekana ni mpaka jamaa afunge
Walishachukua world cup ni vizuri waachie wengine
Goli zake anafungia mbali kuleeMbappeeeeeeee Chumaaaa. Anafunga mabao ya viwango vya FIFA