Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nani aliyekuna na timu zenye upinzani?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Lugha gongana ya Ngwair

Alafu kuna Tamaduni gongana ya Qatar ndo io apo
 
Three Lions' XI

Pickford, Walker, Stones, Maguire, Shaw, Rice, Bellingham, Mount, Saka, Kane, Foden.
 
England XI: Pickford, Walker, Stones, Maguire, Shaw; Bellingham, Rice, Henderson; Saka, Kane, Foden.
 
Hakuna timu inayomhitaji ronaldo ulaya kwa sasa kwasababu uwanjani mchango wako ni chini ya asilimia hamsini

Ndio maana hata kocha wa timu ya taifa anampa half moja kucheza then anampumzisha


Ila Messi uwanjani anakupa kila kitu ukiacha sababu za kibiashara
Brand mkuu, brand ya Messi na Ronaldo ni biashara kubwa. Unakumbuka move ya Beckham kwenda PSG ilivyovuna pesa? Ukiona Ronaldo au Messi anauzwa/ananunuliwa, sio kwa mpira tena, ni biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…