Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Hawa Iran [emoji706].. 3-0
Nimecheki replay ila naona hajagusaMaguire hajashika kweli?
Yan ni Takataka kbs mkuu.. Nilijua ni wale Iran 2018 au 2014 wako solid kumbe hawa mboga za majan kbs.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado Saudi kesh atachukua za kutosha na yy kutoka kwa team yng Mabingwa kbs hawa[emoji1033][emoji41]waarabu kuna shida gani jamani
Kweli hajagusaNimecheki replay ila naona hajagusa
Dakika 14 za nyongeza, ingekuwa bongo kesho zingeanza pressKweli hajagusa
Haha 3🦁"God save the King"
"It's coming home:
Kipindi cha pili England anaongoza bao 3Umeme umekatika ofisini
Huko nyumbani sijuii 🤣🙌
Kweli make kipa katumia mda mrefuDakika 14 za nyongeza, ingekuwa bongo kesho zingeanza press