Bado una nafasi ya kuvuna mihelaNasema Hiv Sisi Iran [emoji1130] Tutawashangaza Kipindi Cha Pili!Tunaingia Na Mpira Kujilipuwa![emoji41][emoji41]
Kufika World Cup tu ni mafanikio toshaUzuri wa Mashindano haya aibu huwa imezoeleka
Tanzania tungepeleka timu hata tungepigwa 5 bila bado isingekuwa noma na wala isingeonekana sisi ni vibonde wa mwisho
Kuna timu humu zitapigwa goli nyingi sana na mtaani kwao mambo yanaendelea kama hakuna kitu kimefanyika
Fundi sana, dirisha lijalo la kiangazi atakuwa ashikiki sokoni
Timu hizo kushiriki tu ni ubingwa kwao na wakirudi wanafanyiwa shereheUzuri wa Mashindano haya aibu huwa imezoeleka
Tanzania tungepeleka timu hata tungepigwa 5 bila bado isingekuwa noma na wala isingeonekana sisi ni vibonde wa mwisho
Kuna timu humu zitapigwa goli nyingi sana na mtaani kwao mambo yanaendelea kama hakuna kitu kimefanyika
Jude ameshaonesha ana kitu mguuniUsiwadhamini waingereza wakicheza na wanaojua utawachukia
Hawa Iran wanaweza wataungana na wenzao wenyej kua watazamaji na hata point 1 wanaweza wasipate kbs.
🤣🤣🤣 na yanavyojuaga kupiga keleleWanakeraa kinomaaa mambo ya kuwasha generator bhasii tu ...
Bado Saudi kesh atachukua za kutosha na yy kutoka kwa team yng Mabingwa kbs hawa[emoji1033][emoji41]
"God save the King"
"It's coming home:
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1130][emoji1130][emoji1130][emoji1130]Bado una nafasi ya kuvuna mihela
Beti kwa matokeo hayo hayo, na saizi itakuwa bingo kwasababu utapata odds nyingi
Ndio nchi imetaka hivyo sa wafanyaje?Naskia hata kuvua fulana hairuhusiwi kwa mashabiki🤣🤣
Hehehee wanaogopa watu watatamanishana vifua au 🤭Naskia hata kuvua fulana hairuhusiwi kwa mashabiki🤣🤣
Ivi kwa hapa bongo ni TBC1 pekee ndo wanaonyesha kombe la dunia?
Nadhani hii ni moja ya zile nchi zinazoendeshwa kwa ShariaHehehee wanaogopa watu watatamanishana vifua au 🤭