Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kufika World Cup tu ni mafanikio tosha
 
Timu hizo kushiriki tu ni ubingwa kwao na wakirudi wanafanyiwa sherehe
Siku Tanzania ikishiriki kombe la dunia na ikapigwa 9-0 mechi zote bado rais wa nchi atatoa siku kadha za mapumziko kushereherekea mafanikio
 
Bado una nafasi ya kuvuna mihela

Beti kwa matokeo hayo hayo, na saizi itakuwa bingo kwasababu utapata odds nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1130][emoji1130][emoji1130][emoji1130]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…