England 6 iran 1Heeee hiki kipigo cha England au ni wengine?
Ngoja tuone lakini ndoige iko palepaleTUIOMBEE SENEGAL IPATE ATA SARE
TUIOMBEE SENEGAL IPATE ATA SARE
Mbona mvua zimeanzaaHuku tukishinda na umeme ikifika saa 12 kasoro jioni washaukata ila wakiukata asubuhi hii jioni wanachelewa sana kuurudisha...bumbav sana Taa-Nesi-Koo
π€£π€£π€£ Pole sana. Fanya fanya usikose gemu ya SenegalNafika home nako hakuna umeme π€£
Khaaa Taneshkoo jamani
Mpak makontena ya jenereta yaisheMbona mvua zimeanzaa
Hivyo vidimbwi vyao havikusanyi tu maji?
Yakaanza kutoshea watu tuanze kulamba asali ya WC
Haha nasikia leo TBC wamewakazia hii gameNdo naingia humu mdg wangu. Duuuh halafu nilisahau kama kuna update humu..na hivyo dada yako sina DsTv basi tabu tupuu hapa nasubiria wa saa moja
Wataonyesha ya weusi wenzetu hahahaHaha nasikia leo TBC wamewakazia hii game
Ya kizalendo baadae wanaweza onyesha
Utabiri umeshatimia..tunangoja magoli ya nyongeza tu.Kipindi cha kwanza
Cha pili mi nayaona 6
Wamejiokotea leo usishangaeHeeee hiki kipigo cha England au ni wengine?
Chelsea tuna goal moja na assist.πππArsenal mpaka sasa tunagoli mbili WC
Wanazi wa EPLChelsea tuna goal moja na assist.πππ
Ndo warudishe mapema π₯²π€£π€£π€£ Pole sana. Fanya fanya usikose gemu ya Senegal
Ball halitembei kwani kwa waliofungwa?Wamejiokotea leo usishangae
Mtatoboa ???Chelsea tuna goal moja na assist.πππ
Litakua boli mafuta tuBall halitembei kwani kwa waliofungwa?
Kama vp