Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hili kombe Nigeria angeshiriki na kuwa kundi moja na Qatar haki ya mama wangeuza mechi wale wapuuzi hawaaminiki.
Wapuuzii sana ...German, England na ireland wamesema macaptain wao watavaa armband ya kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja.
Say no to LGBTQ
Tena HD [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Argentina habebi kombe[emoji3][emoji3][emoji3],kuna timu ngeni itakuchukua hamtaamini.
TBC wanaonyesha ila sina imani nao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
The Hand of God now belongs to me," Luis Suarez declared after Uruguay's quarter-final win over Senegal in 2010. "I made the best save of the tournament."Na ghana mzee umesahau 2010 Gyan akatulaza na viatu kwenye tuta
Saa 11 anza kufungua tvUfunguzi saa ngap mazee
Saa 11Ufunguzi saa ngap mazee
Over Ghana not SenegalThe Hand of God now belongs to me," Luis Suarez declared after Uruguay's quarter-final win over Senegal in 2010. "I made the best save of the tournament."
Hapo dstv now ndo huwa inatusaidia kama unatumia dstvHii ndio mida ya Tanesco kupita na umeme huku kwetu
2028?Benzema, Kante, Pogba, hawapo, iko kazi
Hao wachezaji ndio walikuwa key katika ubingwa wa 2028