ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
inategemea na quality utakayochaguaVipi upande wa bando kwa mechi moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemea na quality utakayochaguaVipi upande wa bando kwa mechi moja
Hahaa noma
Kanzu ni vazi la utamaduni wao tu,Kanzu haina uhusiana na ushehe,Dini haikuagiza watu kuvaa kanzu.Aisee ma shekhe wa Qatar wameng'aa na kanzu zao so smart.
TBC Wamejitahidi kwa HD iko vizuri sana
Hivi si haina impact yoyote? Maana nishagawa kwa mtu huko 😂😂😂DStv Now anaetaka nimpe email na password tufaidi nafasi ziko 2
Naona dr Liki sijui ndo anavyoandikwa anachambua viwanja hapa. Duu tunakosa mengi
YaapNi kweli kumbe ?
Basi sawa. Ila wamependeza sanaKanzu ni vazi la utamaduni wao tu,Kanzu haina uhusiana na ushehe,Dini haikuagiza watu kuvaa kanzu.
Hivi si haina impact yoyote? Maana nishagawa kwa mtu huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona inastuck? Maana nimetune chap 😂😂TBC Wamejitahidi kwa HD iko vizuri sana
Oh ahsante..
Nigawie basi Netflix [emoji2957]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]zimehamishiwa Rwanda ghaflaMkuu kwani sherehe za ufunguzi zimeamishiwa Rwanda au ulitaka kusema nini
error 20182028?
Wamejitahid kweli ila tu nna wasiwasi nao hawashindwi kukatisha matangazo hawa utasikia tunajiunga na ziara ya muheshimiwaTBC Wamejitahidi kwa HD iko vizuri sana
Yaap