Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Thanks in advance 😋Ok ntakutumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks in advance 😋Ok ntakutumia
Wamejitahid kweli ila tu nna wasiwasi nao hawashindwi kukatisha matangazo hawa utasikia tunajiunga na ziara ya muheshimiwa
hakuna huwa kuna nafasi 4Hivi si haina impact yoyote? Maana nishagawa kwa mtu huko 😂😂😂
Mi naona nyuzi zote za Qator FIFA WC ziunganishweMods ikiwapendeza uzi uunganishwe na ule wa mkuu Greatest Of All Time
Nb .uwe live
Ni mawazo yangu tuu
Labda unatumia ya kichogo[emoji23][emoji23]Huyo alosema TBC iko clear mhh [emoji23][emoji23]
Nimerudi zangu 222
Khaaa
Labda TV yangu ndo chimeo
Tusubiri tuoneCameroon haiwezi Switzerland. Switzerland wapo vizuri
Mara paaaaap bingwa ni Denmark[emoji22]Argentina habebi kombe[emoji3][emoji3][emoji3],kuna timu ngeni itakuchukua hamtaamini.
TBC wanaonyesha ila sina imani nao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani ni tbc 1 pekee ila sina uhakika snHahahahahaa si huwa tbc 1 na 2
Wala mkuuLabda unatumia ya kichogo[emoji23][emoji23]
Hmmh mkuu labda kama unatumia AZAM decoder hivyo hauwezi kulinganisha na channel zingine za maana, nenda chanel 222 kama una DStv halafu linganisha na hiyo TBC.Labda unatumia ya kichogo[emoji23][emoji23]
NdiyoTunashare time zone lakini kwa wenzetu tayari ni giza
Nimemshangaa sana[emoji1].Wala mkuu
Ni vile huna access na 222 ndo maana unaona ile ndo HD [emoji1787][emoji1787]
Yani hpo ndo ukuu wa Mungu unapoonekana aiseeTunashare time zone lakini kwa wenzetu tayari ni giza