marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 987
Huwa naangalia BBC live news aisee haya majira yanachanganya sababu ni nini?Ndiyo
Me kuna wakati dada angu alikuwa Lebanon
Ikifika saa 10 jioni, kigiza kinaanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa naangalia BBC live news aisee haya majira yanachanganya sababu ni nini?Ndiyo
Me kuna wakati dada angu alikuwa Lebanon
Ikifika saa 10 jioni, kigiza kinaanza
Hii creativity walokuja nao ndugu zetu wa Qatar wametisha sana aiseh
Morgan freeman
Anaitwa Morgan FreemanNamuona jamaa flani black, sijui mmarekani huyu ila femous sana
afu watu wana ukungu usoni 😂Kwa mtu anaetumia DSTV, aiseh ukilinganisha na matangazo wanayorusha TBC, huwezi Kufaidi. Camera za TBC zimefifia sauti halitosis vyema.
Freeman Morgan,kama sijakoseaNamuona jamaa flani black, sijui mmarekani huyu ila femous sana
Mbona hiyo kawaida. Dar muda huu kikigiza kinaingia ila bukoba ndiyo kwanza jua linawaka Kama saa kumi hapo DarYani hpo ndo ukuu wa Mungu unapoonekana aisee
Jmn 😂😂😂😂😂😂afu watu wana ukungu usoni 😂
TBC waache tu kuonyesha,utadhani wapo bukoba kwenye mvua nyingi
Huku ndio unarejea muda huuNa huku nilipo washazima nasikia watarudisha saa 1 usiku ovyo kabisa hii nchi.
No senceTBC waache tu kuonyesha,utadhani wapo bukoba kwenye mvua nyingi
Kwelii etiJmn 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 afu sauti iko juuTBC waache tu kuonyesha,utadhani wapo bukoba kwenye mvua nyingi
VAR imekuja baadayee. Baada ya tukio hilo wakaanzisha goal tenchnology ambapo kamera zinafungwa karibu na goal, kuamua penye utata.4-1 hii kama sijakosea. Kuna goli Lampard alifunga likakataliwa ikapelekea kuanzishwa kwa mchakato wa VAR kama kumbukumbu zangu ziko vizuri
Utafikiri wamelipia hata aftatuJmn 😂😂😂😂😂😂