ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hivi gharama ya kuandaa kombe la Dunia ni bei gani?
Uwe na Trillioni 600 Cash, Kifupi ni Bajet Ya Tanzania kwa Miaka 15.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi gharama ya kuandaa kombe la Dunia ni bei gani?
Bilioni tatu tu? Au Bilioni 3000Mamilioni kama afutatu hivi
Eeee bana aisee. Hahaahah itabidi tununue dstv aisee sema huo muda wa kuangalia hyo dstv channel zake mm sio sana labd nyie mnaopenda Mechi za ulaya.Mkuu na wewe unaangalia TBC kama mimi.
Sie wazalendo [emoji2][emoji23]
Akram Afif
Undugu wenyewe upo kwa mbaaali
Ww unaangalia wapi bestyMamilioni kama afutatu hivi
Kifurushi sasa hivi ni 56 ulufu. Ngoja tukomae na Dr. Leaky kwa muda hadi mwisho wa mwezi.Eeee bana aisee. Hahaahah itabidi tununue dstv aisee sema huo muda wa kuangalia hyo dstv channel zake mm sio sana labd nyie mnaopenda Mechi za ulaya.
Niko nimetulia home mamie.. kaVibe nakwambia ni kama niko hapo QatarWw unaangalia wapi besty
Sio mchezo. Kumbe bado tupo tupo Kwanza, Naskia Kwa hiyo pitch ya Leo full AC baridi Mpaka unaganda.Uwe na Trillioni 600 Cash, Kifupi ni Bajet Ya Tanzania kwa Miaka 15.
Wacha kabisa leo nimepika cha moja kwa moja 😆 😆Niko nimetulia home mamie.. kaVibe nakwambia ni kama niko hapo Qatar
Hayaa tunaofungua mashindano na Qatar tujuane [emoji3577][emoji3577][emoji1732]
#Reddddd
Naskia ni dogo tegemezi sana yani hana utofauti na Chama pale lunyasiNamba 11 Mgongoni Nyweleee Ndefuuuuuu Fundi sana huyu wa Qatar akiwa na Captain wao
HeheeeeZa Ndani kabisaaa….Qatar Wamehonga Wachezaji 8 wa ECU ili washinde hii Mechi kias cha Dola Millioni 8
Sio mchezo. Kumbe bado tupo tupo Kwanza, Naskia Kwa hiyo pitch ya Leo full AC baridi Mpaka unaganda.
France kwasababu ya Mbappe, Senegal ni uzalendo tu#teamfrance #teamsenegal