Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actually nyingi.Ingekua bongo hapa the the kama zote
Sema France hata wasipochukua sio mbaya sana maana last season walichukuaFrance wana watu wa kazi, ila majeruhi watatucost.. No Pogba, Benzema, Nkunku, Kante.. daah Brazil wana timu nzuri sana sema mabitozi
Uchumi ndio kila kitu
Sisi bado tuna fight na umeme pamoja na bundles
Milion 2 tuHivi gharama ya kuandaa kombe la Dunia ni bei gani?
Hawa wa bongo wamekikariri kiarabu kama nyimbo, hilo unalotaka wafanye ni kuwatafutia lawama tu.Waarabu wa bongo tuambieni/tutafsirieni mfalme kasemaje
Switch DSTVZBC2 vp huko?
Kashfa nzitooKuna tuhuma wachezaji wa Ecuador wamepewa mzigo ili wafungwe mechi ya leo
Bila kusahau zile... napenda kumshukuru mama samia suluhu hasan......Actually nyingi.
Ndo alipata umaarufu hpo mwl kashasha. Mungu ampumzishe kwa amaniKuna mwaka hawa tbc walikuwa wanachambua mpira, marehemu Mwalimu Kashasha (Mungu amrehemu) alikuwa kashika fimbo huku anaelekeza kwenye tv pale.
Bora leo naona wameweka big screen hapo.
Sasa mpaka u host si lazima uwe umefikia vigezoIla Tungewekeza Nguvu kwenyw Vitu Vichache tuuu Tungekuwa Mbali, Uki host Kombe la Dunia Ina Boost sana Uchumi.
Angalia South Afrika Kabla na Baada ya Kombe la Dunia.
Ni vile Tuuu wa South Hawana Akiliii wanapitwa na Nigeria kwa Sababu Ya Upuuzi wao.
South Afrika Inahangaika Umeme Tanzania Tunasubiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkorea mmoja wa kiumeWameimba kina nanii??
Namshukuru Mama nimeweza kuamka salama mpaka sasa nimepata fursa ya kufanya haya mahojiano[emoji23].Bila kusahau zile... napenda kumshukuru mama samia suluhu hasan......
Bongo nyoso
Sisi tz hta afcon tu hatuwezi kuandaa. MSasa mpaka u host si lazima uwe umefikia vigezo
Una kiwanja kimoja, timu zaidi ya 16 zitafanyia mazoezi wapi?
Ubahili na kuongozwa na wazee walafi wasiokuwa na vision ni tatizo
Sasa mpaka u host si lazima uwe umefikia vigezo
Una kiwanja kimoja, timu zaidi ya 16 zitafanyia mazoezi wapi?
Ubahili na kuongozwa na wazee walafi wasiokuwa na vision ni tatizo