Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Naweka simu chaji macho yote kwenye kijitv changu cha nchi 5, geto pale yangu kama yatima, mbu kibaooo😂😂😂
 
Naweka simu chaji macho yote kwenye kijitv changu cha nchi 5, geto pale yangu kama yatima, mbu kibaooo😂😂😂
Me mbona niko mwenyewee
Na nafeel vibe ya kumwagika kabisaa
 
Ukimya kidogo kumsikiliza Raisi wa Fifa aliyekuja bongo majuzi kati kwa hisani ya Karia
 
Jamaniii mbona sioni tekno kwa mashabikii
Naona simu kali kali tu
 
Aikilizeni Historia za Simba hizo zinatajwa kwenye michuano mikibwa kama hii nyie hamuogopi?
 
Camera za Azam Sports ni very blur yani kumuona mchezaji ni mpaka ufumbe jicho moja kama binocular
 
Back
Top Bottom