Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Unaanzaje kwa mfanooAaaaah....
Imebidi nirudi hapa....
Kuna remote tu[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaanzaje kwa mfanooAaaaah....
Imebidi nirudi hapa....
Kuna remote tu[emoji1787]
KweliiMmmmmh
Wametii amri bila shuruti..bia watakunywa ndani ya makontena yaoUwanjan naona watu wamekaa kwa adabu
Kushangilia vitambi wazi huku glass za bia hakuna wadada sidiria nje sijaona
PouwaMambo?
Me nimecheki Live kwa simu nimekuta kiswahili namba 222
Ngoja nijaribu 223
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaanzaje kwa mfanoo
Inategemea sasa na setting sijui nimejaribu kwangu ni englishKwelii
222
223
224
225
Katika simu zoteee kiswahilii
Tv sijui maana umeme umekatika
Ila ufunguzi ulikuwa kwa Engl
Mmeanz wa Tz 😆 😆Qatar wakichomoka salama kwenye hii mechi mniite mbwa.
Mkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewaHahaha raia mnajifanya kuzijua sana sheria (ujuaji wa kibongo), wakati wakileta vipimo inaonekana kamguu kalizii kidogo, huku hakuna mambo ya kibinadamu[emoji23]
Hiyo hapo penalty, hiyo ndio ya halali.
SanteeeKwenye channel 222 unaweza kubadili lugha ikawa english ila 223 still itaongea Kiswahili. Bonyeza option, then scrow kwenye language, then bonyeza help kwenye remote yako, then hapo kwneye default language weka English Original na Alternative language weka English Original then bonyeza back
Nahisi tusiangalie kipa yuko wapi ila tuangalie mtu wa mwisho wa timu inayoshambuliwa ...Mkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewa
Hawa jamaa wametuonyeshe aina mpya ya offside 😆Mkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewa
We bado unabishana na VAR?Mkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewa
MaybeeeInategemea sasa na setting sijui nimejaribu kwangu ni english