Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kiuno Nyigu WC kwani wee upo timu Gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello BeautifulMamaa Lipssss dear upooo?? Leo unacheki boli???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] Huku Ihefu, huku US, huku pisi Kali nitaacha kweli kunenepa mwaka huu
Mchawi kazini!!😎Mungu ibariki Poland
Hizi hapaaa!Hello Beautiful
nipo mishe aisee
timu gani zacheza leo ?
Wee shougaaaaa leo uko team gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamaa Lipssss dear upooo?? Leo unacheki boli???
zote KaliHizi hapaaa!
Brazil...ila Nombea Africa zichukue kombe!!Wee shougaaaaa leo uko team gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubir [emoji1257] ft [emoji1110], yaan leo uwiiiiiih
Kuanzia jana ni saa 18:00 na saa 22:00 Mechi mbili mbilizote Kali
tusubiri dakika 90 majibu
leo hakuna yq mchana eeh
Sijafuatilia aiseeKuanzia jana ni saa 18:00 na saa 22:00 Mechi mbili mbili
YeahhhSijafuatilia aisee
mechi zimepungua
Yan app imekua ya hovyo wengine web watuiwezi kabisa chaaaIla mkitutag watu wa JF App shauri zenu[emoji1787]
Hatuoni na wala hatuwezi kufungua
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Brazil anakuwa Bingwa wa Kombe hili la Dunia linalofanyika Qatar mwaka huu wa 2022.View attachment 2383741
Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan kuandaa kwa pamoja mwaka 2002.
Pia michuano ya mwaka huu, ni kwa mara ya kwanza kufanyika nje ya utaratibu uliozoelekea wa mwezi May, June au July. Michuano ya safari hii itafanyika mwezi November mpaka December kutokana hali ya hewa kuwa rafiki tofauti na joto kali la miezi ya May, June au July.
Qatar ambao ni wenyeji wa michuano hiyo, itakuwa ni mara yao ya kwanza kufuzu toka Kombe la Dunia lianzishwe. Hivyo wametumia vyema nafasi ya mwenyeji kufuzu automatic.
Kombe la Dunia la mwaka huu 2022 litakuwa la mwisho kushirikisha timu 32 kama ilivyo katika utaratibu wake.
Kuanzia michuano ijayo ya mwaka 2026 itakuwa inashirikisha timu 48.
Mpira wa Kombe la Dunia la mwaka huu, unajulikana kama "Al Rihla" ikiwa na maana ya " the journey " safari kwa kiswahili. Ni mpira maalum ambao umetengenezwa na Adidas huku ukiwa umefungwa kifaa maalum cha kusaidia kugundua offside kwa haraka zaidi.
Michuano hiyo itafanyika katika viwanja vinane ndani ya majiji matano. Kiwanja mojawapo ambacho ni kivutio ni "Stadium 974" ambapo kimetengenezwa kwa kutumia makontena 974 na kitavunjwa punde baada ya kumalizika kwa michuano hiyo.
Vikosi vya timu vitaanza kutangazwa mapema mwezi ujao wa November na kila timu itatakiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Mechi ya ufunguzi tarehe 20 Nov itamuhusisha mwenyeji ambapo itakuwa ni Qatar Vs Ecuador.
Kwa raundi mbili za mwanzoni katika hatua ya makundi, mechi zitapigwa katika majira yafuatayo; Saa 7:00 mchana, Saa 10:00 jioni, Saa 1:00 Usiku na Saa 4:00 Usiku.
Baada ya hapo, mechi za raundi ya mwisho za makundi, mechibza mtoano mpaka Fainali zitakuwa zikipigwa Saa 1:00 usiku na Saa 4:00 usiku.
Masaa ya Qatar ni sawa kabisa na masaa ya hapa Afrika Mashariki, hivyo muda utakuwa unafanana.
Tutashuhudia mechi zote 64 kupitia DStv. Kwa wale wa kustream, Hesgoal.com itakuwa chaguo sahihi kwako.
Updates zote za vikosi vitakavyoitwa, ratiba za mechi, jezi, uchambuzi na mengineyo utayapata hapahapa kwenye uzi huu.
Karibuni sana...
View attachment 2383805
Ratiba kamili ya Mechi za Kombe la Dunia 2022 Qatar
Kumbuka: Muda wa Mechi ni kwa saa za Afrika Mashariki HATUA YA MAKUNDI RAUNDI YA 16 ROBO FAINALI NUSU FAINALI FAINALIwww.jamiiforums.com
Msimamo wa Makundi yote baada ya mechi za kwanza kuchezwa
View attachment 2425769
View attachment 2425773
View attachment 2425774
View attachment 2425775
View attachment 2425776
View attachment 2425790
View attachment 2426941
View attachment 2426942
unaota ndoto ukiwa wapi. au unamaanisha kombe la kunywea chaiBrazil...ila Nombea Africa zichukue kombe!!
Pia Tanesco wamekuwa nongwa, tumelipia ving'amuzi ghali halafu hakuna umeme most of the daySijafuatilia aisee
mechi zimepungua
mgao sio poaPia Tanesco wamekuwa nongwa, tumelipia ving'amuzi ghali halafu hakuna umeme most of the day
Update manYan mehiko anazidiwa hadi na saudia,makubwaaa
Timu yako ikishinda ni rahaaa, lkn ikifungwa ni uchungu.Ilikuwa kama gombania goli wachezaji wanakimbia na kujihami kama wamechanganyikiwa 😆