Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Game approach mzee! ndio iliyofanya Saudi akamfunga Argentina!.Mind you techinically and tactically Argentina ni tough kuliko waholanzi, hata kwa mchezaji mmoja mmoja tu.
Kuna kiungo kama Dejong Argentina?

Kua beki kama vin djik,Delight , na Ake?

Labda Argentina front three ila kwingine mido wa Brighton ampoteze dejong never

Why uholanz kwa Ecuador usione ni game approach?
 
Back
Top Bottom