Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Ref mkuuu huyu ni mjinga sana tena hafai kabisa yaaana nimemchukia hana fair hata kidgNjano ya pili inaenda kwa Cameroon tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ref mkuuu huyu ni mjinga sana tena hafai kabisa yaaana nimemchukia hana fair hata kidgNjano ya pili inaenda kwa Cameroon tena
We si una mme?Hawa vijana wa Brazil ni ma HB bwana huyo golikipa anawaka
Cameroon tuwashabikie tu Brazil hesabu zimesha vurugikaSerbia mbili huko
KamHawa vijana wa Brazil ni ma HB bwana huyo golikipa anaw
Bonge moja ya game 🔥🔥🔥🔥 cameroon kasarahisishiwa njia tayari anahitaji bao moja tu afuzuSerbia mbili huko
Sisi hata Afcon hatutaingiaUmejaribu kaungalia vizuri mitambo yako kwenye hiyo 2026 sisi Tz hatupo kweli?
Serbia mbili huko
Ndio kwani dhambi kusifia?.mbona na yy anawasifia wadada wakipendeza?.kawaida tuu mkuu tunasifiaWe si una mme?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enjoy Mkuu.Hatari sana mkuu, wanachangamsha sebure kwa maswali ya ajabu ajabu, Jesus anacheza mpira?! Nawaambia ndio anacheza yule pale
Aiseee ila wanawake bhana.Ndio kwani dhambi kusifia?.mbona na yy anawasifia wadada wakipendeza?.kawaida tuu mkuu tunasifia
Huwa wanadanganya umriMadingi wazito hawa.
Hahahaaaa hahahaaaaKuna jambo nimeona...sijui mmeona wenzangu...🤣🤣🤣🤣