Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Huyu Kovacic ni nyoko

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimegundua wachezaji wengi wanacheza kwa juhudi sana kwenye kombe la Dunia tofauti na kwenye vilabu.

Maguire aliyedhihakiwa hadi kutishiwa maishana akapewa mapumziko maalum ila kwenye WC alikiwasha sana, imagine.

Juzi Ziyech alikuwa anacheza hadi beki, anakaba na kushambulia
 
Back
Top Bottom