Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waafrika wenzako unawaombea balaa!!??Ukibebwa bebeka..sisi tunasubiri kesho Morocco tuwale tena watu wasingizie ya leo
Acha kujibizana na mataahira, kwani lazima kila Mtu ampende huyo Andunje [emoji847]Kwani lazima kumpenda, simpendi na mimi sio kenge
🤣🤣🤣🤣🤣Leo ni kaunta manina hadi akili iwakae sawa
🤣🤣🤣🤣Nilitaka nikatazame mechi kipindi cha pili ila nimeghairi sasa naona Adidas wameshatembeza bahasha kama tuzoo ya mchongo 2010..