Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Kijamaa kina wivu wa kikeKumbe ilikuwa wivu tu wa kufungwa 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijamaa kina wivu wa kikeKumbe ilikuwa wivu tu wa kufungwa 😂😂😂
GOAT TENA WA MUDA WOTE... MAKOMBE YOTE ALIYOWAHI KUPIGANIA YAPO KABATINI KWAKE.... ALAFU MNAKUJA KUMLINGANISHA NA KIKOJOZI WENU MBAPE. KWENDENI HUKO......Kwahyo uwo uchafu wenu Messi ndio awe GOAT
Unasemaje???? Mwisho wa siku.... Ndugu zenu waliichelewesha mahakama TU, lakini hukumu Kali dhidi yenu kama Kawa.....Narudia tena(3x), Messi huwezi kubeba hii ndoo kirahisi hivi
Mbele ya Messi unajua ana hatrick ngapi!!! kenchy typeMbappe in Hat Trick,
Afu WC final, mbeleeee ya Messi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
KIKOJOZI huyoooo shenzi zakeHuyu mtoto fala sanaView attachment 2451024
Ndiyo aawapa France. sijui unaota wewe..... amka ukakojoeRefa anawataka Argentina ila Mungu anawapa France
Mungu ni mwema wakati ote Mkuu... Kajibu maombi. Haters wote vichwa kibra ..... Awatasau ktk maisha Yao yoteHayo umeyatuma kwa mungu Diana au Mungu yupi?
The one and only DIBU[emoji1487]
View attachment 2451291
Eti Mbape ndo king pale PSG .... Huku umebana pua... Unajua Messi10 ana magoli mangapi hadii sasa? ana vikombe vingapi hadi sasa, ALAFU ana Miaka mingapi!!!!! ALAFU unakua KUMLINGANISHA na kikojozi wenu mbape, acheni udwanzi na ushabiki maandazi....Mbappe ndio King pale Psg alikuwa akiwatawala messi na neymar watu wanasema hana nidham. Leo anamuaibisha king wa mchongo
Mangwea kabisa? Hapo wanaostahili ni Messi, Mbape, Hakimi, Ounahi, Amrabat,Kikosi bora cha SkySportsView attachment 2451420
Na ikawa kweli!!! Mungu asingeacha kumpa kombe hili Messi10 maana alimleta hapa dunia Ili kuionyesha dunia kwamba kama unajua/ unakipaji hutakiwi kuongea sana Wala kujivuna au kuji mwambafai juu ya kipaji chako badala yake acha maajabu yako yafanye watu kuongea juu ya uwezo wako na kipaji chako.....Mungu nimekuita kwa ajili ya Argentina tangu waaibike kwa mechi ya saudi na nikauona ukuu wako. Mungu naomba leo ukajidhihirishe tena ili hata asiyekuamini akuamini. Wapatie Argentina ushindi. Nitarudi hapa baada ya ushindi. Maana Mungu niliyemuita Mungu wa mama yangu hawezi niabisha. Watch and see His greatness
Wote msiompenda Messi10 nasaka comment zenu.... Kwa hiyo wewe unasemaje !!!!!Ao ni chawa wa Messi
Kikosi bora cha SkySportsView attachment 2451420
wote msiompenda Messi10 nasaka comment zenu.... kwa hiyo we unasemaje ndoo Messi10 kachukua..... Kama vipi andamana....Nashangaa wanaoshabikia Argentina, america kusini ni bara ambalo lina weusi weeengi lakini shangaa kwenye timu yao ya taifa hakuna mchezaji mweusi, miaka ya 1820s baada ya biashara ya utumwa kusitishwa raisi wao aliwaua watu weusi weengi sana wengine wakakimbilia Brazili na Ecuador Mimi ni nani niwashabikie waargentina?
Ni kwa mujibu wa wachambuzi wa SkySports wakina Neville na wengine na siyo official kutoka Fifa.Maguire ametokeaje hapo?
walianza wao France wako.... ALAFU mwisho WA siku!!!??? Malizia mwenyewe....Nyie bwana mtakufa tuu...mlisharuhusu goli mbili.
Kama mtaenda hadi penalty na france wakaanz kupiga wao nakwambia mmekwisha
Anayecheka mwisho ndiyo hufrahi zaidi...Messi alikuwa anaangalia ubao wa muda mara nyingi na kusmile, kumbe hajui zimwi linamuwinda