ARIDHI NI MTAJI HAKIKA.

magumbugu

Senior Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
143
Reaction score
266
kabla sijafikisha miaka 35 nataka nimiliki plot /viwanja/mashamba kwenye kila mkoa Tanzania Bara, Mungu anitangulie kwenye hili jambo, nimebaini utajiri wa kizazi kijacho upo katika aridhi, usipomiliki aridhi baada ya miaka 20 hali itakuwa mbaya sana, Aridhi inaenda kuwa dili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…