understanding
Member
- Feb 17, 2013
- 75
- 34
Kwani hao ndo kina nani mbona mi siwajui
Wameshawahi kuchezea Taifa Stars au
wadau, kama
sijawaelewa vizuri, ina maana hawa watu hawapo tena redio mawingu,
mjengoni?? kwanini wameacha kazi pale wakati wanaonekana mambo safi,
kama Gerald tunasikia analipwa kisu kirefu usipime???
sasa power brerakfast itakaliwa na nani?? nadhani Gerald alifit sana...
jaman mnauhakika kabisa hawa watu hawapo tena maawingu??? naomba kukiri,
nimepokea hizi habar kwa msituko mkubwa sana..
Arnold Kayanda yupo Radio Bichuu, Gerald Star TV.
Arnold Kayanda yupo masomoni UDSM. Atakuwa na study leave may be!
Gerald hando kaamua na yeye akasafishe cheti yupo Eagles Training College-Kariakoo.
Anasoma vyuo vingapi kuna mwingine alisema anasoma SUA!
HGL- SUA -KILIMO??????
Nenda pale CASS (linguistics) utamkuta.
Mbona mimi ni HGL +SUA au kwa mtazamo wako unadhani waliopo sua ni waliosoma nini?au ukisikia kilimo ni unajua kilimoooooooooo TU