understanding
Member
- Feb 17, 2013
- 75
- 34
Wadau, nimekuwa nikisikiliza Jahazi takribani siku kadhaa sasa bila kusikia Arnold Kayanda wa jahazi la Kibonde wala Gereld Hando wa PB.
Hawa watu (top in town) wako wapi? mapumziko au ndio kishanuka??
Mwenye data atusaidie hapa...
Hawa watu (top in town) wako wapi? mapumziko au ndio kishanuka??
Mwenye data atusaidie hapa...