Arnold Kayanda Yuko BBC Sasa

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
nilikuwa najiuliza huyu jamaa sijamsikia muda yuko wapi. leo nimemsikia muda mfupi uliopita kwenye taarifa ya habari ya BBC. Taarifa ndio hiyo wadau!


Chanzo: Bongo5
 
Hongera zake.
Mbwiga na Bonge wajitahidi huenda na wao wakachukuliwa na BBC.
 
Duh sikuiz kwenda BBC inaonekana imekuwa easy, hadi watu wa kawaida wanaenda
 
Hivi Kibonde yeye atafia Clouds? Au hana vigezo?
 
Utasikia eti nae Adam Mchomvu yupo BBC soon,........
 
Anorld Kayanda anavyo vigezo vya kuenda BBC. sitazungumzia kielimu, ila ule u-presentation wake na sauti akiwa anatangaza ni ambao unaweza kusikilizwa na hata na watu wenye hekima zao. tofauti na watu kama mchomvu na mbwiga.

Hivi huyu mbwiga ni mtangazaji au mchekeshaji tu kawekwa pale apate pesa kula?

Hizi ni salam kwa Kibonde anayetaka akitawale kipindi kufunika nyota za wenzake, lakini ajuwe wakitakiwa maprofesheno kwenda redio kubwa yeye atabaki clouds mpaka kifo chake.
 
Me napenda tu sauti yake doooh. Millard naamini soon na yeye ataitwa tu BBC

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
target ya kila mtangazaji bongo ni kwenda bbc swahili..inaonekana bbc swahili inajitegemea co bbc world tunayoijua
 
Baruan Muhuza TBC walimzengua akajiendea zake star tv kinyoonge. Mungu si athumani mara kaibukia bibisii uingeredha. Usicheze kabisa na riziki ya mtu, mungu akikuandikia hata wafanyeje wee ni wa kutusua tu.
 
Kuitwa BBC ni kigezo cha mafanikio? Mbona Pasco hayuko BBC na anaingiza mpunga wa maana na ile kampuni yake ya PPR? Pasco hana time na maredio yenu ya kitumwa. Tena nawaambia afadhali ya DIDA au Rose Chitala wana amani bongo kuliko hao kina regina na Kaganda huko UK
 
Last edited by a moderator:
Baruan Muhuza TBC walimzengua akajiendea zake star tv kinyoonge. Mungu si athumani mara kaibukia bibisii uingeredha. Usicheze kabisa na riziki ya mtu, mungu akikuandikia hata wafanyeje wee ni wa kutusua tu.

Kibonde atakuwa mkurugenzi wa ile redio ya Le mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…