Arobaini ya marehemu mama Zari Madale, inasikitisha

Arobaini ya marehemu mama Zari Madale, inasikitisha

Kwa hiyo wewe ndio mwenyekiti wa hiyo 40?
Yani unasema kakimbia 40 halafu papo hapo unauliza kuwa kama amekosa hela ya kufanya 40? Mbona hueleweki?
Halafu umesema inasikitisha lakini hakuna kinacho sikitisha kwenye habari yako zaidi ya kuchekesha...hivi wewe unaweza kujua ratiba za kwao Zari kuzidi Zari mwenyewe?
Bila Shaka jitazame upya dish litakuwa limeyumba....
'komenti' bora mpka sasa katika nilizoma!
bravo!
 
Huwa nakusapoti tu hata uandike jema au baya halafu hii hali sijui inasababishw na nini

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Leo ni arobaini ya marehemu mama Zari huko Uganda, badala Zari apande ndege akamfanyie kisomo mama yake kaenda Madale kufanya shooting ya muziki wa Diamond.

Kweli Zari kakosa hela ya kumfanyia mama yake arobaini kweli? Ikumbukwe siku saba baada ya mama Zari kuzikwa Diamond alimchukua Zari wakaenda honeymoon ya msiba Mombasa.

Hivi angekuwa amekufa mama Diamond, asingeombolezewa kwa taratibu zote za kiislam? Wanawake tujifunze kuheshimu dini zetu na familia zetu, Diamond ana mama yake ana kazi yake inastawi.

Zari nae Wasafi wanamtumia tu hao kina Tale ni wanafiki tu. Wapenda kiki hao wakishamtumia watamtupa kule.
Hayo yote hayasaidii kwa mtu ambaye sasa ivi ni mzogo.
Kwa iyo ukijipendekeza kwa mzogo ndo ataenda mbinguni?
 
Mbona mara mnasema zari kafunga ndoa na chibu, mleta mada anasema ana shoot video ya wimbo...
Kipi ni kipi sasa...
 
Zari hana akili, diamond nae hana akili .What a vombination!Watoto wao watakuwa wanakuwa wa mwisho Darasani. Hata wale watoto wa zari wakubwa ni vilaza. Wangekuwa vipanga Zari lazima angerusha matokeo kwenye insta page yake.
 
Leo ni arobaini ya marehemu mama Zari huko Uganda, badala Zari apande ndege akamfanyie kisomo mama yake kaenda Madale kufanya shooting ya muziki wa Diamond.

Kweli Zari kakosa hela ya kumfanyia mama yake arobaini kweli? Ikumbukwe siku saba baada ya mama Zari kuzikwa Diamond alimchukua Zari wakaenda honeymoon ya msiba Mombasa.

Hivi angekuwa amekufa mama Diamond, asingeombolezewa kwa taratibu zote za kiislam? Wanawake tujifunze kuheshimu dini zetu na familia zetu, Diamond ana mama yake ana kazi yake inastawi.

Zari nae Wasafi wanamtumia tu hao kina Tale ni wanafiki tu. Wapenda kiki hao wakishamtumia watamtupa kule.

Hivi arobaini ni lazima ifanyike siku ya arobaini?
 
Ungeishi nchi za wengine na ya msiba kuyaona.. ungeandika magazeti. Mumuache na maisha yake.. wewe tekeleza hayo kwako utakapopata boyfi au mume kabisa.
Kwakuwa haishi ktk nchi za wengine na hajaona hayo uliyoyaona mwache nae atowe maoni yake kwa mujibu wa mila za nchi yetu na matakwa ya Dini ya kiislamu huwezi kuacha kumuombea dua mamayako mzazi na kwenda kwa hawarayako hii ni kinyume na maadiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom