Nani huyo anatuita hivyo??! Huyu mwanamama anachopanda atavuna kwa machozi!Hakuna dish kupinda wala nini hawa ma jirani zetu wa insta lazima kila linalojiri watufahamishe ingawa tunaitwa vichupi kunuka
'komenti' bora mpka sasa katika nilizoma!Kwa hiyo wewe ndio mwenyekiti wa hiyo 40?
Yani unasema kakimbia 40 halafu papo hapo unauliza kuwa kama amekosa hela ya kufanya 40? Mbona hueleweki?
Halafu umesema inasikitisha lakini hakuna kinacho sikitisha kwenye habari yako zaidi ya kuchekesha...hivi wewe unaweza kujua ratiba za kwao Zari kuzidi Zari mwenyewe?
Bila Shaka jitazame upya dish litakuwa limeyumba....
kweli yaani angekuwa mama d angefanyiwa hivi kweli? japo simuombei kifoHakuna kitu kizuri kama kuacha mtoto mwema duniani akuombee dua pindi uwapo kaburini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yote hayasaidii kwa mtu ambaye sasa ivi ni mzogo.Leo ni arobaini ya marehemu mama Zari huko Uganda, badala Zari apande ndege akamfanyie kisomo mama yake kaenda Madale kufanya shooting ya muziki wa Diamond.
Kweli Zari kakosa hela ya kumfanyia mama yake arobaini kweli? Ikumbukwe siku saba baada ya mama Zari kuzikwa Diamond alimchukua Zari wakaenda honeymoon ya msiba Mombasa.
Hivi angekuwa amekufa mama Diamond, asingeombolezewa kwa taratibu zote za kiislam? Wanawake tujifunze kuheshimu dini zetu na familia zetu, Diamond ana mama yake ana kazi yake inastawi.
Zari nae Wasafi wanamtumia tu hao kina Tale ni wanafiki tu. Wapenda kiki hao wakishamtumia watamtupa kule.
Hayasaidii, leo angejigalagaza kwa kulia ndo mngemwona anaomboleza?Hakuna kitu kizuri kama kuacha mtoto mwema duniani akuombee dua pindi uwapo kaburini
Sent using Jamii Forums mobile app
shooting
hawezi mfikisha hukozari ni jambazi, dada ana roho ya kimafia asilimia 100 subilini mtaona atakachomfanya kaka yenu, si mnamcheka Mr nice subilieni mtaona
Kati yake na wewe nani ataenda "peponi"kafiri hawezi kuelewa .yule mama alikuwa muislam
Leo ni arobaini ya marehemu mama Zari huko Uganda, badala Zari apande ndege akamfanyie kisomo mama yake kaenda Madale kufanya shooting ya muziki wa Diamond.
Kweli Zari kakosa hela ya kumfanyia mama yake arobaini kweli? Ikumbukwe siku saba baada ya mama Zari kuzikwa Diamond alimchukua Zari wakaenda honeymoon ya msiba Mombasa.
Hivi angekuwa amekufa mama Diamond, asingeombolezewa kwa taratibu zote za kiislam? Wanawake tujifunze kuheshimu dini zetu na familia zetu, Diamond ana mama yake ana kazi yake inastawi.
Zari nae Wasafi wanamtumia tu hao kina Tale ni wanafiki tu. Wapenda kiki hao wakishamtumia watamtupa kule.
Kwakuwa haishi ktk nchi za wengine na hajaona hayo uliyoyaona mwache nae atowe maoni yake kwa mujibu wa mila za nchi yetu na matakwa ya Dini ya kiislamu huwezi kuacha kumuombea dua mamayako mzazi na kwenda kwa hawarayako hii ni kinyume na maadiri.Ungeishi nchi za wengine na ya msiba kuyaona.. ungeandika magazeti. Mumuache na maisha yake.. wewe tekeleza hayo kwako utakapopata boyfi au mume kabisa.
ni video mkuuMbona mara mnasema zari kafunga ndoa na chibu, mleta mada anasema ana shoot video ya wimbo...
Kipi ni kipi sasa...
wote tutaenda.peponi tunaingia tu kwa rhehema na huruma za mwenyenzi Mungu na sio kwa juhudi zetu mkuuKati yake na wewe nani ataenda "peponi"