Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Ilo ni suala ambalo linafahamika kwa mtu yoyote anaefuatilia soka sijaona kama lina uzito wowote kiasi cha kulianzishia uzi.Katika uwanja wa Allianz Arena, jijini Munich nchini Ujerumani kuna mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya UCL.
Baada ya droo ya 2-2 wiki iliyopita, leo Bayern Munich wanawakaribisha Arsenal.
Hili ndio taji pekee ambalo Bayern kabakisha na nina uhakika watataka wafike mbali zaidi baada ya kuukosa ubingwa wa Bundesliga. Kwakuwa Bayern ni timu ya vikombe, siwaoni Arsenal wakitoboa leo.
Leo Arsenal atapigwa kama kasimama na kuendelea na rekodi yake ya kumaliza bila kombe kila msimu.
Tukutane saa 4:00 usiku
Vipi mkuu umeshapata kazi? Maana nilisikia uNatafuta AjiraIlo ni suala ambalo linafahamika kwa mtu yoyote anaefuatilia soka sijaona kama lina uzito wowote kiasi cha kulianzishia uzi.
Labda ashinde na njaaArsenal anashinda 1-0
Pesa za mafuta zitacheza final.fainali ya mwaka huu itakua tamu sana Dortmund vs Real madrid
Unataka kusemaje?Vipi mkuu umeshapata kazi? Maana nilisikia uNatafuta Ajira
Waache wauaneKatika uwanja wa Allianz Arena, jijini Munich nchini Ujerumani kuna mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya UCL.
Baada ya droo ya 2-2 wiki iliyopita, leo Bayern Munich wanawakaribisha Arsenal.
Hili ndio taji pekee ambalo Bayern kabakisha na nina uhakika watataka wafike mbali zaidi baada ya kuukosa ubingwa wa Bundesliga. Kwakuwa Bayern ni timu ya vikombe, siwaoni Arsenal wakitoboa leo.
Leo Arsenal atapigwa kama kasimama na kuendelea na rekodi yake ya kumaliza bila kombe kila msimu.
Tukutane saa 4:00 usiku
Mimi nimewawekea mzigo bayern, azam na dinamo zagrebSeen and ignored, kama unajiamini nioneshe mkeka ulioweka laki ukimupa bayern ashinde
awa wapi leo safari imeiva aendeni mabegiPesa za mafuta zitacheza final.
Azam mwenyewe kapita na wewe tiari..Mimi nimewawekea mzigo bayern, azam na dinamo zagreb