Arsenal anatolewa na Bayern Munich leo

Hatimaye yametimia, James Tupatupa, Mtangazaji wa Clouds TV aliahidi kuwa atachinja Ng'ombe endapo Asernal itatolewa, yeye aliamini Arsenal itafuzu katika hatua, hilo zoezi la kuchinja Ng'ombe linatakiwa liwe Mbashara...
 
Mbona thread yako kama unalia yaan baba leo nimekuwa wa mwisho tena mtihani wa taifa nimepata zero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…