Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Hela ya ruzuku anayo kula Mbowe ingeelekezwa huku pengine tungekuwa tunawadhamini Man city
Yaani huo mwenge..Acha niishie hapo tu[emoji120][emoji120]Biashara matangazo.
Sisi tunautangaza mwenge
Hata tukitoa fedha kujitangaza ni sisi tunaolaumu leo tutaanza kulalamika kwa nini hizo fedha zisipelekwe kwenye afya au kilimo kitafaidisha Watanzania wengiHuku viongozi wetu hata kwenda nje kuiuza Tz huko hawajawahi.
Utalii utaongezekea wapi kama hamjitangazi dadek tutasubiri sana
Okey sawaHata tukitoa fedha kujitangaza ni sisi tunaolaumu leo tutaanza kulalamika kwa nini hizo fedha zisipelekwe kwenye afya au kilimo kitafaidisha Watanzania wengi
Wanasiasa wapo kama sigara kali. Kipindi cha nyuma nchi ilikuwa haina ndege, wameponda sana. Haya kaingia jamaa kazinunua, sasa hivi wanakuambia bora ela uipeleke, kuboresha elimu na ndio maana sometimes taifa linapofanya maamuzi yanahusiana na maswala ya kiuchumi, lisiwasikilize wanasiasa watawavuruga na hujui kesho watasema nini.Hata tukitoa fedha kujitangaza ni sisi tunaolaumu leo tutaanza kulalamika kwa nini hizo fedha zisipelekwe kwenye afya au kilimo kitafaidisha Watanzania wengi
This was rather about conduct kuliko vakue ya tunacho kutafuta
Isaya 50:11Yaani huo mwenge..Acha niishie hapo tu[emoji120][emoji120]