VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
kama shabiki wa the gunners ninaamini leo ni fursa ya kipekee kupanda mpaka nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu England.Je wachezaji wetu wamejipanga kwa kutosha? hayo yote tuachie dakika 90 uwanjani! Arsenal itabakii kuwa juuu