Arsenal kuwa wa kwanza kuongoza ligi ya EPL kesho msimu huu

Arsenal kuwa wa kwanza kuongoza ligi ya EPL kesho msimu huu

Ipo nafasi ya kwanza mpaka kesho saa nne.mechi ikiisha,atakuwa nafasi ya mwisho kabisa baada ya Kula kichapo cha mbwa koko
Jibu swali nimeuliza anaongoza kwa point ngapi mpaka sasa
 
Ipo nafasi ya kwanza mpaka kesho saa nne.mechi ikiisha,atakuwa nafasi ya mwisho kabisa baada ya Kula kichapo cha mbwa koko
Jibu swali nimeuliza anaongoza kwa point ngapi mpaka sasa
 
Mi naona game ya kesho Arsenal tuna nafasi kubwa ya kufungwa.

Kwakua akili ya Arteta ipo pale pale kumtumia ST ambaye ni Auba na Auba kashaonyesha anahitaji spark ya AM ambaye hayupo.

On the other hand Brentford wana forward inayojua kuscore na iko vizuri katika kuscore so naona Arsenal tutamiliki mpira ila hatutakua lethal badala yake Brentford akipata mpira nyasi zitakua zinatafutana.
Heshima yako mkuu
 
[emoji444]Akina BABA mnasemajeeeeee???
wataijikombaaaaa mwaka huuuu wataisomaaa...[emoji444][emoji444][emoji444]

[emoji444][emoji444]Akina kaka mnasemajeeeeeee[emoji444][emoji444]

[emoji444][emoji444]Watajikombaa mwaka huu wataisomaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aya twendeeeee sasa

Aseno ni ileee oooooh ni ileeee


[emoji445]Aseno ni ileee...ooooooh ni ileeeee...twende sote sasa...Asenooo ni ileee ileeeeee oooooh ni ileeeee[emoji444][emoji445]

[emoji445]Mateso ni yale yale ooooh ni yale yaleeeeeee twendeee...[emoji445][emoji445]...

[emoji444][emoji444][emoji444]Bukayooo ni yuleeeee oooooh ni yuleeeee...[emoji445][emoji445]

[emoji2788][emoji2788] Twendeee tenaaa...oooooooooooh Aseno Ni ileeee oooooh ni ileeeee

Tumeipenda wenyeweeee [emoji444]ngengeeee[emoji444] wacha tuvimbe tupasukee[emoji444] nge ngengeee
Tutajijua wenyeweee[emoji444][emoji444]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji2363][emoji2363][emoji2363]
IMG-20210813-WA0194.jpg
 
Kwanini lakini kila siku sisi, Wenger aliwahi kusema kuwa tutamkumbuka, vitoto vidogo sana vikichezewa presha tu vinatoa magoli dahh[emoji24][emoji24] so sad wallah
 
Hivi kweli nyie Arsenal mpo serious kweli? Wenzenu wanasajili wachezaji wa maana. Akina Grealish, Lukakua, Konate, Bryan Gil n.k halafu nyie usajili wenu ni akina Okwonko, Sambi Lokonga.

Na mnategemea mshindane kweli?
 
Ulishaga kufa huu ulioposti hapa ni mzimu wako tu! But as soon as possible tutakutia kifungoni
 
Arsenal ni academy ya vijana wanaotimiza ndoto zao kucheza epl alafu waonwe na timu kubwa..

Hata Majimaji ya Songea inainyuka Arsenal..
 
Back
Top Bottom