Arsenal kuwa wa kwanza kuongoza ligi ya EPL kesho msimu huu

nimeangalia lineup ya arsenal leo vs brentford

Sijawaona lacazette wala aubemayang wala xchaka wala wiliam!

Arteta nako sijui kakoje tu!

David luis katemwa, kolasinac benchi,

Wenger alituachia wachezaji angalau wenye spirit ya kupambana.

Lakini hawa akina pepe,
sidhani.
 
Kosa la kwanza la kiufundi la shabiki,huu Uzi ulikosea jukwaa,kosa la pili la wachezaji wa arsenal,walidhani wanacheza na madogo waliopanda daraja,wakasahau EPL hakuna dogo.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inaelekea dakika ya 75,Manchester utd 5 vs Leeds utd 1.
Matokeo yakibaki hivi,arsenal atapanda mpaka nafasi ya 19 Kwa muda.
 
Arsenal mechi ijayo akipigwa tano bila kama mwenzake wa karibu ambaye ni Norwich,atachukua nafasi aliyokuwa baada ya game yake ya kwanza kuisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…