Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
OkayUmehamia huku,ungebak tu huko huko kwa boda boda
Okay๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hayo ni maoni yake Evra. Bado yupo usingizini anaota Mambo yaliyopita miaka mingi.United itabeba kombe mbele ya arsenal
๐๐ฒ๐ธ๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐บ๐ฎ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐ ๐ฎ๐ป ๐จ๐ป๐ถ๐๐ฒ๐ฑ ๐ฃ๐ฎ๐๐ฟ๐ถ๐ฐ๐ฒ ๐๐๐ฟ๐ฎ:
๐ฃ๏ธโMiaka Kama 15 iliyopita nilikuwa nawaita Arsenal โvitoto โ-kuna wale walipinga kauli hii na wengine wakakubaliana na mimi. Hakukua na timu rahisi ya kucheza nayo kama Arsenal, hata wangeongoza 2-0 bado najua tungeshinda.
๐ฃ๏ธโFerguson alikuwa akituambia tuache kucheza tiki-taka kama twacheza na Arsenal ila tuhakikishe wachezaji wao wanatoka uwanjani wanachechemea. Kila wakati tukicheza nao,hatukua na mafunzo yoyote yale ya ki-mbinu au kiufundi dhidi ya Arsenal- tulijua tu kushinda dhidi yao ni rahisi mno.
๐ฃ๏ธโAlipoingia Arteta tuliona mambo yatabadilika. Hadi sasa kuitazama Arsenal ni kama kutazama Netflix. Hao wanasubiri tu msimu ujao, kila wakati ni msimu ujao na amini usiamini, kila msimu wako vile vile.โ
Kupiga sio tatizo hata kipndi United anakuwa bingwa back to back mlikua mnampiga tu.Hayo ni maoni yake Evra. Bado yupo usingizini anaota Mambo yaliyopita miaka mingi.
Arsenal kampiga Manchester United mara 4 mfululizo bila majibu.
Soon..!Katika maswali ambayo natesekaga nayo nikiwa nacheki game mashabiki wenzangu wananiuliza ninaUEFA ngapi aisee huwa naishia kutukana tu.
Hivi hii timu yangu itabeba kweli UEFA maana najiona nikifa ikiwa bado haijabeba aisee The Gunner wenzangu tatizo ni Nini maana ya timu kubwa na UEFA hatuna
Mwaka huu.Katika maswali ambayo natesekaga nayo nikiwa nacheki game mashabiki wenzangu wananiuliza ninaUEFA ngapi aisee huwa naishia kutukana tu.
Hivi hii timu yangu itabeba kweli UEFA maana najiona nikifa ikiwa bado haijabeba aisee The Gunner wenzangu tatizo ni Nini maana ya timu kubwa na UEFA hatuna
Itakua umezeeka macho hayaoniHuyu raia kuna mada alidai ameachana na arsenal leo tena karudi
UEFA ndio shida,Arsenal tulifika final uefa ila ndoo wakabeba wale mbwa wa Spain Barca.