Arsenal na Manchester City vyawa vilabu tajiri duniani

Acha maasihara Barcelona na Madrid wako wapi...shame on you
 
.....uhuru wa habari huo,kila mtu anajiandikia anavyotaka.
 
Hhhhhhhh mkuu naona haijakuingia.....!!!!
Kabisa sisi ndo tunaongoza kwa statistics za mwaka jana Forbes lakini si hapa inawezekana the gunners wako wa EPL [emoji23][emoji23]
Lakini hata nikitetea Barca inabidi uniunge mkono pia [emoji23]
 
Forbes washawahi kuhongwa na mohamed dewji

Forbes wapo kibiashara ,usiwape dhamana
watoe hao forbes, mapato ya vilabu je?

kama man city, arsenal, spurs etc wanatangazo mapato madogo compare na kina barca, madrid, man u je na hizo club zimehongwa zitoe mapato kidogo?

hivi na akili zako timamu unaamini timu kama spurs ambayo ndo kwanza inajenga uwanja, timu kama arsenal ambayo mpaka leo haijamaliza deni la uwanja inakaba wachezaji iwalipe mishahara midogo na timu kama man city ambayo hata uwanja haina inategemea uwanja wa jiji la manchester na uwanja wenyewe haujai umepewa nickname emptihad zinaweza kweli kuwa na hela kushinda barca madrid na man u?

ukiangalia source za hela za mpira
1. uwanja, barca madrid na man u zina viwanja vikubwa zaidi

2. idadi ya mashabiki timu hizo tatu kubwa zinao wengi zaidi

3. mauzo ya jezi yametawaliwa na messi, ronaldo, zlatan, neymar, pogba, de gea etc

4. deal kubwa za jezi duniani utasikia ni adidas man u na madrid, barcelona nike etc

sasa kama kila source za revenue wametawala hao mabwana wakubwa hebu tumia angalau asilimia moja ya akili yako uniambie totenham, arsenal au city wamefanya nini wawapite hao.
 
Kabisa sisi ndo tunaongoza kwa statistics za mwaka jana Forbes lakini si hapa inawezekana the gunners wako wa EPL [emoji23][emoji23]
Lakini hata nikitetea Barca inabidi uniunge mkono pia [emoji23]
Exactly lazima nikuunge mkono mkuu tupo pa1......nipo hapa nakomaa na kina man u 'nawaponda' hhhhhhh
 
Ndo manake kubabake wanAosema gunners hana hela wakuje hapa.....,ndo tunaanza hivyo leo kufunga midomo Europe....., tumeanza na Chelsea babake.....,bado wengine kubabake.....

Timu ikiwa tajiri na haichukui vikombe washabiki wanafaidikaje?
 
mkuu kuna vitu unashindwa kuvitofautisha kwenye maswala ya account timu ikiwa na madeni sana ndio kusema sio tajiri,chukulia mfano USA ndio anaongoza kwa madeni duniani,lakini USA huyo huyo ndio anachuuliwa kama nchi tajiri kiuchumi duniani na ndio inaongoza kwa kutoa misaada kuliko nchi yyte duniani je USA ni masikini kwa kuwa ana madeni mengi? jibu ni hapana-hapa ndipo panapokuja maswala ya AACCOUNTS.

angalia hiyo balance sheet utajifunza kitu.
katika uzi wako ungesema hizo clup ndio zinaongoza kwa mapato kwa sasa,sio kwa utajiri.ndio maana ukirudi kwenye ACCOUNTS pale msimu ukiisha ARSENAL huwa inaonekana ndio clup inaongoza kwa mapato kutokana na sera zao,lakini haimanishi arsenal ni tajiri kuzid man u
 
Acha uongo mkuu ,umeongea uongo mwingi sana

Nani kakuambia arsenal inalipa mishahara midogo? Usiongee bila fact , Top ten ya timu zinazolipa vizuri mishahara arsenal ipo, kuliko hata baryen munich

Arsenal hiyo hiyo unadanganya inadaiwa deni la uwanja, huna fact

Arsenal ilishamaliza deni la uwanja kitambo sana,

Kuhusu kuwa na uwanja mkubwa hao madrid ,barca na man u , lazima utambue hivo viwanja ni vy kizamani ,

Halafu usikariri kuwa na uwanja mkubwa bas ndio utakuwa na mapato makubwa ya uwanjani

Uwanja wa emirates ni uwanja wakisasa kwa karne hii , ukitaka nitakuchambulia page nzima jinsi ulivyo

Uwanja wa emirates unachukua mashabiki 60k, lkn kiingilio chake ni kikubwa ,na kimekuwa kikilalamikiwa na vilabu vinavyotembelea EMIRATES,

Nitakuwekea data,

Takwimu za msimu ulioisha arsenal ilikuwa juu kwa mapato ya uwanjani ikifatia OT,

According to the study, Arsenal have £766 million worth of fixed assets -- following their move from Highbury to the Emirates Stadium -- more than any other club in world football, while only Manchester United have more money in the bank (£307m) than Arsenal's £300m.

Premier League ticket prices: which clubs charge the most?


 
Kwa hiyo unabishana na hao mabwana wakubwa waliofanya utafiti , na kuulizia kiasi kilichopo ktk kila klabu, unataka tukusikilize wewe unayetoa mawazo yako kichwan?
 
Eti arsenal inalipa mishahara midogo ,duh



Uwanja wa Emirate ,kiingilio chake , chukua cha OT mara mbili yake na sent kadhaa, ndio unaruhusiwa kuingia Emirates


Inaonesha unakichukulia poa poa Emirates ,

Ule uwanja ni wakisasa zaidi ya viwanja kama OT , NOU CAMP, uwanja wa madrid labda ,

Uwanja wa Emirates ndiyo wenye mpangilio mzuri zaidi ukilinganisha na viwanja vingi vya mpira hasa vile vinavyomilikiwa na timu kubwa.

Emirates ambao ulianza kujengwa na kukamilika Julai 2006 una mfumo wa kisasa zaidi kama utalinganisha na viwanja kama Old Trafford wa Manchester United au Stamford Bridge wa mabingwa wa England, Chelsea.

[https://globalpublishers]

Mgahawa ndani ya Emirates.

Championi limefika katika viwanja vyote hivyo na Emirates unaonekana kuwa na ubora kuzidi ulivyo wa Camp Nou wa Barcelona na hata Santiago Bernabeu wa Real Madrid za Hispania, hasa unapozungumzia mpangilio wa ndani.

Kwa upande wa mashabiki ambao unaingiza hadi watu 60,432 waliokaa vitini, utaona aina ya ukaaji ni bora zaidi, viti vina nafasi ya mtu na mtu kwa maana ya mbele na nyuma, yaani sehemu ya kuweka miguu kama utalinganisha na Stamford Bridge au Old Trafford.

Ukaaji wake, yaani aina ya yai, inampa mtazamaji nafasi ya kufaidi zaidi mpira kwa kuwa mfumo wake umekuwa wa kisasa zaidi kuliko mtazamaji kukaa kama ananing’ng’inia kama ambavyo umekuwa ukiona kwenye Dimba la Camp Nou. Ukiingia Emirates utaona tofauti kubwa zaidi.

[https://globalpublishers]

Sehemu ya kupata vinywaji na chakula ndani ya Uwanja wa Emirates.

Lakini ndani ya uwanja huo, kuna hoteli maalum ambayo unaweza kuuita ni mgahawa lakini ukawa na ubora kuliko hoteli za nyota tano za Ulaya au hata nyumbani Tanzania.

Ukiingia kwenye mgahawa wa Diamond, hakika kweli ni almasi namna ulivyopangiliwa na umegawanyishwa katika maeneo mawili. Moja likiwa ni kwa ajili ya watu maarufu tu ambao wanahusika na klabu hiyo au wageni wao. Lakini sehemu ya pili ni ile ambayo hutumia wateja waliolipa VIP.

Kunakuwa na chakula maalum ambacho huwekwa kwa mfumo wa “bufee” na wakati wa mapumziko au kabla na baada ya mechi, watu hujiachia wanavyotaka wao.

INGIA HAPA UUJUE ZAIDI UWANJA WA EMIRATES ,UACHE KUUFANANISHA NA VIWANJA VINGINE

Bata La Ndani Ya Emirates, Hakuna England - Global Publishers
 

-kwenye mishahara
mbona unamtafuta mnyonge bayern? tunacompare arsenal vs man u/barca/madrid una data arsenal analipa kushinda hao?

-deni la uwanja
mkuu unafahamu jina halisi la uwanja wa emirate? unaitwa Ashburton grove. wazungu ni wajinga kiasi hicho waache jina lao la asili na kuuita uwanja jina la emirate? jina la kiarabu?

ukweli unaofahamika emirate wameingia mkataba wa miaka 15 wawasaidie kujenga uwanja kwa kutoa mamia ya mamilioni ya pounds na emirate umejengwa 2004 so tufanye hesabu rahisi

2004 + 15 tunapata 2019

so njoo mwakani mkuu kusema hizo kauli kwamba mmemaliza deni la uwanja. deni sio lazima liwe mfumo wa pesa, kumtangazia mtu bure pia ni deni,

hii article ya mwaka 2004 wakati wanasign hilo deal

Arsenal-Emirates deal worth £100m

na hii ilikuwa ni statement ya msemaji wa arsenal

"The club said today the revenues from the Emirates deal, which are weighted towards the earlier years of the contract, would give it the financial muscle to meet loan repayments on the new ground as well as compete in the transfer"

na usisahau uwanja ni source moja ya mapato vipi kuhusu mauzo ya jezi, mapato ya jezi toka wadhamini mfano deal la jezi la man u la pound milioni 600 arsenal wanapata ngapi vile? hilo la man u kwa mwaka ni 75m wakati arsenal ni 30m,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…