Arsenal na Manchester City vyawa vilabu tajiri duniani

Arsenal na Manchester City vyawa vilabu tajiri duniani

Hakuna kitu kama hicho up to know Manchester united ,Real Madrid and Barcelona they still top 3 richest clubs in the world.
Usikariri ,hizo ni zilipendwa

Bishana na hao jamaa, maana had goal.com wameiweka na kuielezea wameangalia vitu gan,
 
Hii kama ni kweli ni habari mbaya sana kwa arsenal fans kama mimi.
Hapa tusahau babu kutoka kama anaingiza mkwanja licha ya kufanya vibaya.
Ila sidhani kama ni reliable source hii, spurs juu, barca, real, Manutd chini ya arsenal??
 
Ndo manake kubabake wanAosema gunners hana hela wakuje hapa.....,ndo tunaanza hivyo leo kufunga midomo Europe....., tumeanza na Chelsea babake.....,bado wengine kubabake.....
Refa katuua janA
 
Man u ,madrid nguvu yao ipo kwenye mikopo zaid

Psg, man city hawakopi wanachofanya wamiliki wao wanahamisha hela zao kuzileta kwenye club kwa njia mbali mbali kama Udhamini, mfano MAN CITY, kupitia shirika la ETIHAD, wamepitisha MPUNGA MREFU sana kuuingiza Man city

SASA WATU BADO WANAKARIRI ,man u ,madrid ndio vilabu tajiri,

Pale PSG nasser anachofanya anahamisha HELA kupitia haki za matangazo, kupitia mashirika ya ndege kama emirates ,na Tv rights hasa BEIN SPORT,

SASA WAHAFIDHINA ENDELEENI KUAMINI MAN U NA MADRID NDIO VILABU TAJIRI

Baada ya miaka mitano vilabu tajir vitakuwa PSG,ARSENAL ,MAN CITY

Arsenal sio watumiaji wakubwa wa hela ovyo, pia hawana madeni

Na wana base ya mashabiki wanaonunua jez, wana kiingilio kikubwa kupitia GATE COLLECTION, mara mbili zaid ya cha OLD TRAFFORD

ARSENAL akiondoka wenger itafanya usajir mkubwa ,kwakuwa Ina base ya utajir sawa na kina PSG NA MAN CITY
 
Sasa Arsenal mnautajiri lakini hamnafuraha na maanisha vikombe vyenye ushindani.
 
mtoa mada

1. japo habari umeitoa goal.com hizo sio data za goal.com wao wameandika tu, hio ni habari ya soccerex football finance 100

2. moja ya kigezo walichotumia kupima utajiri ni potential owner investment, sidhani kama wataalamu wa uchumi wanakubaliana na hili, yani wanahisi mmiliki atamwaga hela kwa kipindi cha baadae halafu wanasema hio club ni tajiri kwa sasa? je asipotoa?

3. ukisoma namba 4 kwenye hio list wamewaweka Guangzhou Evergrande na wakasema hivi

"The Chinese club are owned by two of the world's wealthiest enterprises, Evergrande and Ali Baba, a fact which accounts for the vast majority of their wealth. No club, not even PSG, can match Guangzhou in terms of potential investment from those in charge"

hapa inaonesha kabisa wanaangalia utajiri wa mmiliki kupima utajiri wa club kitu ambacho sio sahihi, sababu ni vitu viwili tofauti.
 
Tot hawajasajir kwa gharama kubwa misimu hii miwili, wanajenga uwanja mkubwa, hawana madeni

Hii list imeangalia hasa net profit ,ambapo kwa timu kama MADRID ,MAN U zenye madeni, ukija kwenye uhalisia kilichopo benk toa na maden wanabaki na hela ya mboga tu
Na pia katika mishahara real , na man u wanawalipa wachezaji wao hela nyingi tofauti na tot ,arsenal
 
Man u ,madrid nguvu yao ipo kwenye mikopo zaid

Psg, man city hawakopi wanachofanya wamiliki wao wanahamisha hela zao kuzileta kwenye club kwa njia mbali mbali kama Udhamini, mfano MAN CITY, kupitia shirika la ETIHAD, wamepitisha MPUNGA MREFU sana kuuingiza Man city

SASA WATU BADO WANAKARIRI ,man u ,madrid ndio vilabu tajiri,

Pale PSG nasser anachofanya anahamisha HELA kupitia haki za matangazo, kupitia mashirika ya ndege kama emirates ,na Tv rights hasa BEIN SPORT,

SASA WAHAFIDHINA ENDELEENI KUAMINI MAN U NA MADRID NDIO VILABU TAJIRI

Baada ya miaka mitano vilabu tajir vitakuwa PSG,ARSENAL ,MAN CITY

Arsenal sio watumiaji wakubwa wa hela ovyo, pia hawana madeni

Na wana base ya mashabiki wanaonunua jez, wana kiingilio kikubwa kupitia GATE COLLECTION, mara mbili zaid ya cha OLD TRAFFORD

ARSENAL akiondoka wenger itafanya usajir mkubwa ,kwakuwa Ina base ya utajir sawa na kina PSG NA MAN CITY
Man u ,madrid nguvu yao ipo kwenye mikopo zaid

Psg, man city hawakopi wanachofanya wamiliki wao wanahamisha hela zao kuzileta kwenye club kwa njia mbali mbali kama Udhamini, mfano MAN CITY, kupitia shirika la ETIHAD, wamepitisha MPUNGA MREFU sana kuuingiza Man city

SASA WATU BADO WANAKARIRI ,man u ,madrid ndio vilabu tajiri,

Pale PSG nasser anachofanya anahamisha HELA kupitia haki za matangazo, kupitia mashirika ya ndege kama emirates ,na Tv rights hasa BEIN SPORT,

SASA WAHAFIDHINA ENDELEENI KUAMINI MAN U NA MADRID NDIO VILABU TAJIRI

Baada ya miaka mitano vilabu tajir vitakuwa PSG,ARSENAL ,MAN CITY

Arsenal sio watumiaji wakubwa wa hela ovyo, pia hawana madeni

Na wana base ya mashabiki wanaonunua jez, wana kiingilio kikubwa kupitia GATE COLLECTION, mara mbili zaid ya cha OLD TRAFFORD

ARSENAL akiondoka wenger itafanya usajir mkubwa ,kwakuwa Ina base ya utajir sawa na kina PSG NA MAN CITY
hio mikopo yao ni visenti tu compare na thamani ya club zao, list yako inasema tu utajiri ila haisemi kiasi gani. ni kama mtu abwabwaje humu fulani ni tajiri Tanzania nzima lakini asiseme ni utajiri wake ni kiasi gani.

net debt ya man u ni kama pound 213M wakati thamani ya club ni zaidi ya 3B. ni club tatu tu duniani ambazo zina thamani zaidi ya 3B ambazo ni madrid , barca na man u.

so angalia hio 213m na 3B hata 10% haijafika inaathiri vipi utajiri wa Man u?

na mapato ya man u kwa mwaka ni zaidi ya pound 500m, ni makubwa sana kiasi kwamba hata hilo deni halimake sense.

na deni la man u ni la glazer akiondoka kesho anaondoka na deni lake.

Man Utd money machine in full flow as club earns over half a billion pounds for second successive year

angalia hio link, timu kama man u inaingiza faida kubwa sana sio hela ya mboga inayobaki.
 
Ndo manake kubabake wanAosema gunners hana hela wakuje hapa.....,ndo tunaanza hivyo leo kufunga midomo Europe....., tumeanza na Chelsea babake.....,bado wengine kubabake.....
Hapa ndo Babu Wenger anapotuchanganya Akili. Aendelee tu kuwepo bado tunampenda.
 
Na pia katika mishahara real , na man u wanawalipa wachezaji wao hela nyingi tofauti na tot ,arsenal
Usikariri, real wanaolipwa vzr ni wachezaji hawazid watano, wengine wanalipwa kawaida, fatilia mishahara ya marcelo, modric, covacic, n.k uone wanazidiwa na wachezaji had wa tot
 
Tot hawajasajir kwa gharama kubwa misimu hii miwili, wanajenga uwanja mkubwa, hawana madeni

Hii list imeangalia hasa net profit ,ambapo kwa timu kama MADRID ,MAN U zenye madeni, ukija kwenye uhalisia kilichopo benk toa na maden wanabaki na hela ya mboga tu
Waeleweshe vzr........,hawaelewi....
 
Hii kama ni kweli ni habari mbaya sana kwa arsenal fans kama mimi.
Hapa tusahau babu kutoka kama anaingiza mkwanja licha ya kufanya vibaya.
Ila sidhani kama ni reliable source hii, spurs juu, barca, real, Manutd chini ya arsenal??
Rotated anticlockwise......, babake unataka umweke spurs juu ya arsenal??????
 
mtoa mada

1. japo habari umeitoa goal.com hizo sio data za goal.com wao wameandika tu, hio ni habari ya soccerex football finance 100

2. moja ya kigezo walichotumia kupima utajiri ni potential owner investment, sidhani kama wataalamu wa uchumi wanakubaliana na hili, yani wanahisi mmiliki atamwaga hela kwa kipindi cha baadae halafu wanasema hio club ni tajiri kwa sasa? je asipotoa?

3. ukisoma namba 4 kwenye hio list wamewaweka Guangzhou Evergrande na wakasema hivi

"The Chinese club are owned by two of the world's wealthiest enterprises, Evergrande and Ali Baba, a fact which accounts for the vast majority of their wealth. No club, not even PSG, can match Guangzhou in terms of potential investment from those in charge"

hapa inaonesha kabisa wanaangalia utajiri wa mmiliki kupima utajiri wa club kitu ambacho sio sahihi, sababu ni vitu viwili tofauti.
Wewe ndio upo sahihi kuliko hao jamaa? Wabongo bhana
 
Back
Top Bottom