Arsenal na Manchester City vyawa vilabu tajiri duniani

Arsenal na Manchester City vyawa vilabu tajiri duniani

Man u ,madrid nguvu yao ipo kwenye mikopo zaid

Psg, man city hawakopi wanachofanya wamiliki wao wanahamisha hela zao kuzileta kwenye club kwa njia mbali mbali kama Udhamini, mfano MAN CITY, kupitia shirika la ETIHAD, wamepitisha MPUNGA MREFU sana kuuingiza Man city

SASA WATU BADO WANAKARIRI ,man u ,madrid ndio vilabu tajiri,

Pale PSG nasser anachofanya anahamisha HELA kupitia haki za matangazo, kupitia mashirika ya ndege kama emirates ,na Tv rights hasa BEIN SPORT,

SASA WAHAFIDHINA ENDELEENI KUAMINI MAN U NA MADRID NDIO VILABU TAJIRI

Baada ya miaka mitano vilabu tajir vitakuwa PSG,ARSENAL ,MAN CITY

Arsenal sio watumiaji wakubwa wa hela ovyo, pia hawana madeni

Na wana base ya mashabiki wanaonunua jez, wana kiingilio kikubwa kupitia GATE COLLECTION, mara mbili zaid ya cha OLD TRAFFORD

ARSENAL akiondoka wenger itafanya usajir mkubwa ,kwakuwa Ina base ya utajir sawa na kina PSG NA MAN CITY
Jamaa liongo hili dah!!
 
According to madeni matumizi ya rafu pia naamini wako sahihi kabisa
 
nimeona source yako ni waproom na nigeria infopaedia shukran,

nataka source ya kuaminika na isiwe ni tetesi ya usajili iwe ni ya karibuni ikionesha lacazette anakula 200k

na tu assume mpo sahihi anakula 200k, yeye 200k na kina ozili 150 sijui 140k still ni hela ndogo sana compare na top clubs kina neymar na messi, ronaldo, pogba, etc
Kila kitu unabisha tu,
 
Kuna watu wabishi sana humu utadhani wanalipwa binafsi napenda timu yangu ninayoshangilia litwae makombe tu hayo mengine sijui utajiri wala hunisaidii kulainisha vyuma.
 
Back
Top Bottom