Arsenal sign Man Utd's Silvestre

Arsenal sign Man Utd's Silvestre

Man Utd wanacheka, Arsenal wanacheka, sijui nani kapata na nai kapatikana.

Soma shukrani zake kwa OT

The centre of one of the more surprising transfer stories of the summer admitted that the nature of the move caught even him off-guard, but insists that he is more than happy to be calling the Emirates home now.

"I am very glad to be here and it is an honour to finally sign for Arsenal," Silvestre told Arsenal TV.

"It was a big surprise, but a very good surprise in the end. I left United especially because I didn't want to spend anymore time on the bench.

"I was looking for a new challenge and when Arsenal come you cannot say no. Hopefully I can look forward to a fresh start without any injuries."

The veteran French international defender went on to give thanks to Sir Alex Ferguson for not standing in the way of the move, while admitting that he will certainly miss Old Trafford.

"It is hard to leave because there are so many nice people there," he added.

"But the fans will understand that as a player you leave.

"I was loyal to Man United for nine years and will now be loyal to Arsenal and perform as much as I can, which is all that matters."

Derek Wanner, Goal.com
 
Wakuu, Michael Silvester amejiunga na Arsenal kwa ajili ya kuweka defence ya Clichy, Ebue ,Gallas, Koro Toure na yeye Silvester.

Hii italeta uzoefu pale nyuma ambapo hasa Senderos amekuwa anayumba sana kwa hio Silvester ataziba pengo hilo.

Ukiangalia sana magoli ambayo Arsenal ilifungwa mwaka jana kwa sababu za kucheza vibaya kwa mabeki wa Arsenal Senderos aliongoza sana kwa kutoa mipira mingi ya adhabu ndogo au kubwa za penalt.

Johan Njorou na Phillipe Senderos ambae ni "unreliable" wanaweza kwenda kucheza kama mikopo kwa timu zingine za Premiership au kubakia benchi ambapo wataona ni kama adhabu kwa hio ni bora kama watakwenda kucheza kwa mikopo kwa timu zingine na hivyo kupata uzoefu zaidi.
 
Wakuu, Michael Silvester amejiunga na Arsenal kwa ajili ya kuweka defence ya Clichy, Ebue ,Gallas, Koro Toure na yeye Silvester.

Hii italeta uzoefu pale nyuma ambapo hasa Senderos amekuwa anayumba sana kwa hio Silvester ataziba pengo hilo.

Ukiangalia sana magoli ambayo Arsenal ilifungwa mwaka jana kwa sababu za kucheza vibaya kwa mabeki wa Arsenal Senderos aliongoza sana kwa kutoa mipira mingi ya adhabu ndogo au kubwa za penalt.

Johan Njorou na Phillipe Senderos ambae ni "unreliable" wanaweza kwenda kucheza kama mikopo kwa timu zingine za Premiership au kubakia benchi ambapo wataona ni kama adhabu kwa hio ni bora kama watakwenda kucheza kwa mikopo kwa timu zingine na hivyo kupata uzoefu zaidi.


Richard, lets be honest on this...am not a fan of Ze Gunaz lakini signings za Mr Bean huwa zaniacha hoi sana mda flani!
Sikatai wala sipingi uhamisho wa Silvestre kuja kwenu ila what am trying to say ni signing ya mtindi gani ktk hali mliloyonayo hivi sasa
As far as the current kiwango of Silv its concerned, then no dought hana QAULITY, ya kuchezea timu yenu, hiyo signing its like an ad hoc or zimamoto signing, sijui Wenger yupo determined kiasi gani katika kufanya usajili, alikuwa na mda mrefu wa dirisha la usajili, nafikiri angeamu angeweza kupa mchezaji mzuri tuu wa ku-cover!
Nevertheles angekua huku kwetu Tz Ningemuita 'mkabila', whats the hell with the French players only? (am just curious tu)
 
Na mwakani Ganaz waandae kitita cha kumnunua Saha, L.....
Shida ya Wenga si Wafaransa tu!?

Ha ha unakumbuka miezi michache nilisema kuwa Silvestre na Saha bye bye..Bado Saha naye ajiandae kufungasha.
 
Ha ha unakumbuka miezi michache nilisema kuwa Silvestre na Saha bye bye..Bado Saha naye ajiandae kufungasha.

....oh! Saha naye ni mfaransa, naye anatufaa (Arsenal) pale kwenye safu ya ushambuliaji!
 
Richard, lets be honest on this...am not a fan of Ze Gunaz lakini signings za Mr Bean huwa zaniacha hoi sana mda flani!
Sikatai wala sipingi uhamisho wa Silvestre kuja kwenu ila what am trying to say ni signing ya mtindi gani ktk hali mliloyonayo hivi sasa
As far as the current kiwango of Silv its concerned, then no dought hana QAULITY, ya kuchezea timu yenu, hiyo signing its like an ad hoc or zimamoto signing, sijui Wenger yupo determined kiasi gani katika kufanya usajili, alikuwa na mda mrefu wa dirisha la usajili, nafikiri angeamu angeweza kupa mchezaji mzuri tuu wa ku-cover!
Nevertheles angekua huku kwetu Tz Ningemuita 'mkabila', whats the hell with the French players only? (am just curious tu)

Nimekupata mkuu,

nafikiri Silvester kanunuliwa kwasababu ana uzoefu na anaweza kuwa cover nzuri endapo Gael Clichy ataumia ama unavyojua kwamba kule Man U kuna Patrice Evra na Nemnaja Vidic.

Kwa ajili hio baada ya kuwa na ahueni ya majeruhi Silvester nae anataka kuwa kama akina Soul Campbell ambae pamoja na umri mkubwa amewasaidia sana Portsmouth kuwa timu ya kutisha mwaka 2007/08 na kunyakua kombe la FA.

Kwa hio nafikiri ni uzoefu ambao unaweza kuuona kwa wachezaji wengine kama David James, Dwight Yorke, William Gallas, Ryan Giggs, Paul Scholes Edwin Van De Sar na wengine lukuki.

Hata hivyo kwa viwango vya mpira wa premiership na ligi zingine za Ulaya wachezaji wenye umri mkubwa kama Genaro Gattuso, Clarence Seedof na wengine kule Italy huzisadia sana timu zao pale zinapowatumia, ingawa pana wachezaji wenye umri mdogo kama wa Samir Nasri na wengine wa chama langu Arsenal.

Sasa nasubiria mechi na Fulham na uwe na weekend njema mkuu!
 
Back
Top Bottom