Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 872
Arsenal 3-1 Chelsea
Kweli kaka uliona mbali.Mie ni Arsenal lakini naona 3-1 Chelsea, tunapigwa.
Unastahili kuwa Nabii mkuu..Chelsea 4 arsenal 1
Mkuu sasa utaanza kumuelewa Sarri taratibu.Jiangalie kwenye kioo afu jitukane ukijipiga makofi kwa kujilaumu jnc ulivyo kilaza wa kutabiri matokeo
Hahaa hapana mkuu hiyo nilitoa baada ya matokeoUnastahili kuwa Nabii mkuu..
Hahaa hapana mkuu hiyo nilitoa baada ya matokeo
Mkuu sasa utaanza kumuelewa Sarri taratibu.
Watu na bahati zao. Huyu jamaa apewe lifetime contract.View attachment 1111914
AiseeeChelsea anabamizwa asubuhi tu kwa sababu wana mchezo ambao Arsenal wanaweza kuuhimili. Nataraji magoli kadhaa ya arsenal ktk mtindo wa counter attack, hii itatokana na Chelsea kupenda umiliki wa mpira lakini madhara hafifu kwa mpinzani. Kingine kitakachoipa ushindi Arsenal ni FOWARD LINE ya Aubameyang na Lacazette aisee! Hawa jamaa ni LETHAL
Nakusalimia tuMpaka first half inaisha arsenal 0- Chelsea 2.
Second half dakika ya 51 Arsenal inapata bao.
Dakika ya 74 Arsenal naandika bao la pili.
Dakika ya 86 Arsenal inasokomeka bao la tatu.
Full time Arsenal 3 Chelsea 2
Yani ulikuwa na uhakika na ushindiHuu mchezo wa Leo hautaki hasira
[emoji23]Manabii feki
Khe khe khe khe khe khe. Na Ni kombe lake la Kwanza katika historia ya maisha yake ya ukochaHahahahaha Chelsea tangu mwaka 2010 haijawahi kumaliza msimu bila kunyakua kombe lolote, msimu huu wa Europa 2018/2019 chelsea hajapoteza match yoyote kuanzia hatua za makundi.
Bangi aliyovuta sari jana nimeikubali
London is blue
Wameshinda kombe bhanaMmeshinda njaa itakua
Kwann Southern Highland?Watu na bahati zao. Huyu jamaa apewe lifetime contract.View attachment 1111914
Ama tu. Kwann uteseke mkuuHahaha manina unai
Imetosha mi kuishabika arsenal
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aha nikajua ni kabla ya gemuHahaa hapana mkuu hiyo nilitoa baada ya matokeo