Arsenal vs Chelsea

Arsenal vs Chelsea

Chelsea anabamizwa asubuhi tu kwa sababu wana mchezo ambao Arsenal wanaweza kuuhimili. Nataraji magoli kadhaa ya arsenal ktk mtindo wa counter attack, hii itatokana na Chelsea kupenda umiliki wa mpira lakini madhara hafifu kwa mpinzani. Kingine kitakachoipa ushindi Arsenal ni FOWARD LINE ya Aubameyang na Lacazette aisee! Hawa jamaa ni LETHAL
Aiseee
 
Mpaka first half inaisha arsenal 0- Chelsea 2.
Second half dakika ya 51 Arsenal inapata bao.
Dakika ya 74 Arsenal naandika bao la pili.
Dakika ya 86 Arsenal inasokomeka bao la tatu.
Full time Arsenal 3 Chelsea 2
Nakusalimia tu
 
Hahahahaha Chelsea tangu mwaka 2010 haijawahi kumaliza msimu bila kunyakua kombe lolote, msimu huu wa Europa 2018/2019 chelsea hajapoteza match yoyote kuanzia hatua za makundi.

Bangi aliyovuta sari jana nimeikubali

London is blue
Khe khe khe khe khe khe. Na Ni kombe lake la Kwanza katika historia ya maisha yake ya ukocha
 
Back
Top Bottom