Arsenal vs Chelsea

Hongera Chelsea Football Club kwa Ushindi wa Europa 2018/19 .
 
Yako wapi?
 
Watu na bahati zao. Huyu jamaa apewe lifetime contract.View attachment 1111914
Giroud anabezwa lakini akifanyiwa marekebisho kidogo tu ni striker mzuri.Leo hii ufaransa ni bingwa wa dunia akiwa na giroud kikosini 1st eleven sina imani laiti kama angelikua na lacazete au masho angelikua bingwa.Chelsea leo hii ni bingwa europa akiwa na giroud kikosini.
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…