Arsenal vs FC Barcelona

Arsenal vs FC Barcelona

MessiLionel_away.jpg
huyu mtu hafai
Jamani mbona umepotea? Naomba utujuze kinachoendelea
 
Arsenal watoto waliodumaa hawakuagi, kila mwaka utasikia kikosi cha mwaka huu ni watoto watupu!
 
pique kukosa next match baada ya kulimwa njano
 
sub
villa out keita in

song out arshavin in
 
Wenger amekaa utadhani ameshikwa na tumbo la ku*******ra
 
dk 76 no sign of come back.......hivi arsenal wako kwao?
 
ha ha ah ah haaaaaaaaaaaaaaaa
no sign of come bacl,why should we give signs?what a surprise jamani?you go arsenal :clap2::clap2::clap2:
 
Back
Top Bottom