Godsake
Member
- Nov 29, 2017
- 47
- 26
Wadau kuelekea mechi kubwa wikiendi hii kati ya arsenal dhidi ya Manchester United hapo jumamosi nimeona sio kesi kuanzisha uzi huu kwa ajili ya wapenda soka tujuzane yatakayokuwa yanajiri mpaka dakika tisini za mchezo huo zitakapokamilika! Karibuni sana wapenda soka wenzangu.