Arsenal vs Manchester United

Arsenal vs Manchester United

nangojea nione arsenal watasema nn baada ya kufungwa!

mara paaaaap,, tuta, red card hahahah 4G naiyona
 
Ilikuwa mechi kubwa enzi hizi
3767e479716b4acd8eac8f37deb6f7d4.jpg
 
Hii game itaamuliwa sana na approach ya Mou hasa anapocheza game away. Kwa kuangalia squad naweza kusema United atashinda ila napata kigugumizi ukija kwenye approach ya Mou.
 
Nyie wewesekeni tu, Peter C ashatabili Arsenal bingwa. Hakuna hao mapepo wala mashetani watakao katisha mbele yetu.
 
Arsenal ilikuwa inasumbuliwa na Man U ya Sir Alex Ferguson..ila tangu aondoke man u kumfunga Arsenal ifanyekaz kwerkwer.na chengine uhasama wa wenger na mourinho..babu wenger hatokubali kejel za mourinho.tutegemee mechi suluhu.au man u wanyooshwe na giroud maana ndio mbaya wao huyo.
Ahahaaaaaa.....piga hesabu vizuri ndio utajua tangu fergie aondoke mumeshinda mechi 2 tuu....
 
Juzi Arsenane amemfunga Huddersfield 5 anajiona kama mechi ya Man kashashinda..[emoji23][emoji23] Akili zao zimefanana kabisa na za Wenger. Unasajili mchezaji mmoja kwa msimu mzima halafu unataka kushinda timu kubwa hizi??? Mtasubiri sana.
 
Back
Top Bottom