Arsenal wabebwa dakika za mwisho

Arsenal wabebwa dakika za mwisho

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Arsenal wamebebwa dakika za mwisho. Kwa staili hii Arsenal hawezi beba ubingwa.
 
Ndio kashashinda hivyo nyie bakini na maneno ata rais alisema kashashinda mkitaka subilini msimu ujao mumfunge lkn msimu huu kalamba point6 kwa bunley
 
Kuna timu kama beacon ya nyumba......haisogei bila kujali matokeo😀😀
 
hajabebwa mtu ni refa tu karekebisha makosa aliyoyafanya................................."
 
hajabebwa mtu ni refa tu karekebisha makosa aliyoyafanya................................."
Wala hajarekebisha bali hii ya Arsenal ni halali ile ya Burnley uongo mtupu wao ndio walitaka kubebwa
 
Back
Top Bottom