Itakuwaje bingwa magoli ya offside yanakubaliwaArsenal hawajawahi kuwa kwenye mbio za ubingwa kwa miaka 12 sasa
Kwi! Kwi! Kwi!Tim tunayo nzuri sana ila kocha ni mjinga cjapata kuona.Siku zile laiti kangekuwa karibu kale kazee,ningekalamba makofi.
Huu ni ujasiri ulio tukukaARSENAL ANABEBA UEFA NA LIGI PIA
Na kama Arsenal itafanikiwa kuingia Top 4 nitaamini maneno yanayosemwa siku zote kwamba ligi ya uingereza ni mdebwedo .Gari la mkaaa hilooo tripu shambaaaaa turipu gerejiii
Nimecheka sana !Huu ni ujasiri ulio tukuka
Yaani ndugu yangu ukipata mchumba kisha ukaja gundua ni mshabiki wa arsenal tafadhali muoe maana uvumilivu wao ni jambo lililo tukuka.Nimecheka sana !
Yesu angerudi ghafla leo hii halafu akaingia JF, angesema "amini nakwambia sijawahi ona imani kubwa namna hii"ARSENAL ANABEBA UEFA NA LIGI PIA
Tim tunayo nzuri sana ila kocha ni mjinga cjapata kuona.Siku zile laiti kangekuwa karibu kale kazee,ningekalamba makofi.