Arsenali ubingwa mtausikia tu

Arsenali ubingwa mtausikia tu

Asernal wasahau kabisa kuhusu kuchukua kikombe, mechi zidi ya man city atapigwa wima, goals difference zinampa ubingwa city, kikombe ambacho mtabeba arsenal labda ya uji wakati wa kufuturu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa
 
Asernal wasahau kabisa kuhusu kuchukua kikombe, mechi zidi ya man city atapigwa wima, goals difference zinampa ubingwa city, kikombe ambacho mtabeba arsenal labda ya uji wakati wa kufuturu😅😅😅😅
Mechi zilizobaki ni ndogo sana whilst for the time being the probability of Man City dropping point is also possible albelt I'm not sure about it, but there's no assurance that Arsenal will not win The EPL title. They've came to far to drop point now.
 
Mlisema, mmesema na mtasema sana ila Arsenal bingwa.
 
Mpira utachezwa tupo tutaona. Kama unavulyosema watashindwa basi wapo wanaosema watashinda hivyo tutarudi kwenye huu uzi kuleta mrejesho
 
Kuna watu walikua wanawaza arsenal anachukua kombe?!!!
 
Back
Top Bottom