Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Utasemaje mbio za sakafuni team inaongoza tangia mwanzo wa league? Alafu kumbuka hizi speculations zetu tu kutokana na draws mbili ambazo amezipata huku mpinzani wake akiwa na kiporo cha mechi mbili mkononi pia anaoenda kukutana nao kukamilisha mzunguko. What if game yao Arsenal akashinda?Mbio za sakafuni
Nyota njema huonekana asubuhiUtasemaje mbio za sakafuni team inaongoza tangia mwanzo wa league? Alafu kumbuka hizi speculations zetu tu kutokana na draws mbili ambazo amezipata huku mpinzani wake akiwa na kiporo cha mechi mbili mkononi pia anaoenda kukutana nao kukamilisha mzunguko. What if game yao Arsenal akashinda?
Tusubirie
Bado anaongoza ligi kumbuka hivyo nafasi ya ubingwa bado ipo.Baada ya kutoka sare na vibonde Southampton , sasa ni dhahiri kwamba mbio za ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu zimekwisha kabisa , na kuna hatari kwamba nafasi ya pili nayo inayoyoma .
Tunawapa pole sana wachezaji wa timu hii kwa juhudi kubwa walizozionyesha na kiukweli inasikitisha sana .
Bwana alitoa na Bwana ametwaa , jina la bwana lihimidiwe
Sawa mkuu, wacha tusubiriNyota njema huonekana asubuhi
Ratiba ngumu?Bado wana nafasi kwasabau ata city anaweza kupoteza.Na city ndiye mwenye ratiba ngumu kwasasa ukilinganisha na arsenal.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Msimu uliopita Liverpool ndio alikuwa anafukuzia ubingwa huku man city akiongoza ligi na hatimae kuwa bingwa.Man City kila msimu anachukua ndoo baada ya mpinzani kutepeta mechi za mwisho jamaa ni kama anafukuza mwizi kimyakimya mwenyewe utasimama uombe poo hii ilitokea pia kwa Liverpool
Ha ha ha ha haNamsikitikia sana Arsenal though lengo kuu la msimu huu lilikuwa kucheza UEFA Championship.
una roho ngumu sana !Arsenal anabeba ndoo[emoji471]
una roho ngumu sana !